Nakukumbusha pia kuwa Rostam alirejea Nchini wakati wa mwendake ,akazindua na kiwanda chake cha ngozi Morogoro,pia aka engineer Mamvi kurudi ccm wakipokelewa na n Mwendazake mwenyewe Ikulu.
Kilaza katika ubora wake,hivi unayajua yanayotokea katika utawala wa Kagame au umeandika kuonyesha ufundi wa uandishi.Hakuna mhimili wowote unaoweza kuhoji utawala wa PK ni alfa na omega.Tz kuna shida ila ya kwa KP ni mara 10 ya yanatokea TZ
Maelezo marefu yasiyo na mantiki,kwa hiyo unataka kusema wakurdi ni wa kutoka sayari ya Mars hawatakiwi kokote.Umejikita kutetea wakurdi wapigwe tu kwa kuwa eti hawapendwi,mara wanatega mabomu bila sababu,unataka kusema wao hawana masilahi yoyote wana matatizo ya akili ? Tupate elimu zaidi
Hamas kama kikundi cha kisiasa na kijeshi chenye nguvu pale palestina walifanya makosa makubwa sana kufanya yale mauaji ya October 7,wamewaletea shida kubwa sana wananchi wasio na hatia wanauwawa kila siku sababu ya ujinga wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.