Hii mbona kali ila ni wajanja asee mi ndio nimegutuka leo 😄😄 kwenye 114,000 walinkopaga 90k kam kumbukumbu zko vzr ila uzuri sikuwalipa nilichukua hela nikalala mbele.
Mambo ya mtandaoni bhana Kila mtu mjuaji asee, ukifatilia huu Uzi unaeza jiona fala .....ukweli mtaani kazi hamna yaani hadi saidia fundi inahitaji kujuana....yote hii inatokana na mfumo mbovu wa elimu yetu,yaani elimu ya Tanzania ni hovyo haimpi mtu skills za endapo hujaajiriwa ni nini...
Ndio maisha Hayo mm sirudishagi Kuna siku nilienda kwa wakala kueka buk mbili nibetie maana bum lilikua limeisha akaweka buk 20 Sasa scenario hiyo unarudishaje hela ....take it ukifika muda wa kurudisha utarudisha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.