Na Comrade Christopher H.Bomola
Mwanafalsafa Rosalynn Carter alipata kusema "kiongozi ni mtu anayewaongoza watu na kuwafikisha wanapotaka kwenda,lakini kiongozi bora ni yule anayewaongoza watu na kuwafikisha sio lazima wanapotaka wao kwenda bali wanapotakiwa kufika".
kiongozi mwenye maono ni...
Naomba mwenye uzoefu au aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kikuu huria,nataka kujua nasoma mnasoma unit ngapi kwa muhula wa kwanza na natakiwa kujichanga shilingi ngapi ili angalau niweze kuwa admitted na kuanza masomo kwa semesta ya kwanza.
Natanguliza shukrani
HUDUMA MAHALA PAMOJA “ONE STOP SHOP” YAIPAISHA KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA
CHRISTOPHER BOMOLA
Serikali ya awamu ya tano tangu kuingia madarakani mnamo mwaka 2015 imeweka mkazo mkubwa katika sekta ya uwekezaji kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo mageuzi ya kitaasisi na kisera ili pamoja na...
Sera zake zakubalika kwa Vijana na Wakina Mama.
Mgombea Ubunge ambaye alikuwa mshindi wa pili katikauchaguzi wa Ubunge Kibaha mjini ameteka siasa za jimbo la kibaha mjini na kuwagumzo katika mji huo baada ya kuonekana katika shughuli mbalimbali za kijamiijimboni humo.
Habibu Mchange mwanasiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.