Inawezekana kurudi...Nina ushahidi wa watu zaidi ya watatu waliorudi...
Ishu ni majina tu katika system ya Lawson...Ukicheza vizuri na majina unarudi vizuri tu..
Swali ndo linaangukia hapo ...iyo notification kwa kawaida hutumwa kipindi gani?,maana hiyo iliwai kutumwa usaili ulishapita..ndo ninahitaji Mwenye uelewa wa hawa watu kutuma notification kama hizo ndugu...
Habari wana jamvii.
Naomba kuuliza kuhusu taarifa ya mrejesho wanayotoa hawa utumishi pindi huombapo nafasi ya kazi.
1.Je mrejesho hutumwa Mara tu unapoomba au siku watakayofungua akaunt yako?
2.Kwa nafasi uliyoomba kama ujapata mrejesho (notification) ya kupongezwa kuwa maombi yako...
Umenena mkuu,mambo mengi ya serikali ni ya ajabu ajabu kweli...uwezo wa watendaji wengi ni mdogo sana nadhani ni kutokana na kuingia katika mfumo kwa kupitia migongo ya watu na si uwezo..[emoji57]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.