Ajira portal

Ajira portal

Joined
Jun 14, 2017
Posts
10
Reaction score
3
Habari wana jamvii.
Naomba kuuliza kuhusu taarifa ya mrejesho wanayotoa hawa utumishi pindi huombapo nafasi ya kazi.

1.Je mrejesho hutumwa Mara tu unapoomba au siku watakayofungua akaunt yako?
2.Kwa nafasi uliyoomba kama ujapata mrejesho (notification) ya kupongezwa kuwa maombi yako yamepokelewa,je maana yake taarifa zako zimetupwa kapuni au vipi? Naomba ufafanuzi kwa haya :
2a06e874ed8326691f9d76b1ea441f78.jpg
 
Hapana...taarifa zimeenda ukitaka kuhakikisha nenda kwenye my application utaona maombi yako yakiwa na status ya in progressive
 
Wewe ndo huelewi, kama hujawa notified hiyo screen shot imetoka wapi?
Swali ndo linaangukia hapo ...iyo notification kwa kawaida hutumwa kipindi gani?,maana hiyo iliwai kutumwa usaili ulishapita..ndo ninahitaji Mwenye uelewa wa hawa watu kutuma notification kama hizo ndugu...
 
Swali zuri. Maana linanihusu pia.
Nami nilitumiwa email za kujulishwa kuwa maombi yamepokelewa mara tatu tofauti kwa kampuni tatu tofauti nilizowahi kuomba.

Baada ya hapo ukafata ukimya mrefu hadi nashangaa.
 
Unaweza ukatumiwa na inawezekana usitumiwe pia. Na katika kutumiwa pia inawezekana kutumiwa muda huohuo au ikachelewa. Nadhani ni tatizo la System yao ila kama umekamilisha taratibu za ujazaji wa portal usiwe na shaka ndugu. Imeshatokea hii mara nyingi tu.

Hata watakapoita watu kwenye interview kuna watakaona majina tu kwenye website na kuna watakaoona majina na pia kutumiwa sms. RELAX.

Unaweza pia kuwasiliana nao.
Phone:+255(22) 2153517
Fax:+255(22) 2153518
 
Iyo ni automatic email noreplay inatoa notification kuwa u have submitted your applications

Ila kama hujatumiwa just chek kama ni kweli maombi yako yamefika
Jaribu kuchek na spam box

Ila haimaanishi umetemwa
 
Back
Top Bottom