Asili inafanya kila kiumbe kipitie kifo, so unataka kuniambia wakina Paul Walker waliuawa na blacks!!! Hata kama tunahisi tunachukiwa na wazungu but sometimes tunajiongeza hadi tunauruka ukweli.
Unajua uhalisia ni uhalisia tu, atapata likes na comments ila moyoni mwake atajua sio yeye ni za jamaa fulani. Japo tabia hiyo inaboa ila inaweza kukuonesha kiasi gani watu wanapenda madini yako.
TUJIULIZE
Je umepigwa na kuangushwa? Nyanyuka tena kwa tabasamu, haijalishi suala la wewe kuitafuta huruma kwa kuendelea kulala, hakuna kinachokuzuia usinyanyuke, je unajua kuendelea kulala ni kuitafuta aibu?
Kama mpira unavyodundishwa chini kwa nguvu, ndivyo huruka juu zaidi, jivunie...
Nakubaliana na wewe japo sijabase sana kwenye dini.
Kuhusu kwenda kuimiliki dunia Mungu aliwaagiza watu wote wakaitawale dunia but unaona leo dunia inatawaliwa na wachache, kwanini? Sababu ya umimi ambao tuliuweka kichwani tokea tukiwa wadogo kutokana na maneno ya umilikishi binafsi...
Simply cha kujua hapo ni kuwa maneno unayoyasikia ndio huzaa fikra na fikra huzaa utu fulani( personality), unachofikiri ndivyo utakavyokuwa, kwa kusikia maneno ya umilikishi na kujirejelea tokea utotoni kulitengeneza fikra ya kujihisi bora kuliko wengine na fikra ya kuona thamani ya utu wetu...
Maisha ni utu, utu sio vitu, utu haupo katika kumiliki, maisha haya ya kupambana kutafuta mali na kumiliki yamejengwa na fikra zetu tu soma hapo juu nimereply kwa jamaa
Fikra zako zimetokana na maneno na sentensi mbali mbali ambazo unazisikiaga katika maisha yako ya kila siku pasipo maneno hakuna fikra na bila fikra hakuna personality jinsi unavyofikiria ndivyo wewe ulivyo. Maneno ya umilikishi ambayo tunayaskia toka udogoni yalitujengea fikra za umimi ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.