Recent content by christeve88

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Hasira za nini mkuu nishasema wewe sio miongoni mwa wale tenashara kwa maelezo yako na lugha yako ya hasira hiyo sio hulka ya warumi.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Huyu ana matatizo sio Mrumi huyu. Hata ukimwambia asali kanuni ya imani hajui
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Kwa maelezo yako wewe sio mkatolic labda mkatolic wa mtandaoni. Padri anapata wapi mda wakuzunguza porojo wakati wa misa wakati anaenda na ratiba? Muda pekee ambaye padri huzungumza alichokiandaa ni muda wa mahubiri na kidogo sana tena sio lazima ni baada ya misa. Wewe sio mkatoliki sababu...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Muasisi wa kuwafanya CCM na wabunge kukosa kauli na Kumuona Mwenyekiti kama Mungu ni Magufuli

    Sawa yeye hayupo sasa wewe uliye hai kinakushinda nini kubadili hii tabia?
  5. C

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya kutosajiliwa ERB wanafunzi ambao tumesoma course za Technical Education Mbeya University

    Wewe ni Mwalimu wa ufundi mkuu embu tafsiri jina la course kwa kiswahili.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Hizi ndizo akili za ajabu sasa nchii haihitaji chama inahitaji watu kana kwamba hata chama kisipokuwepo watu wataongoza. Sasa mnaoshabikia vyama kama Simba na Yanga kiasi kikubwa mpo kimaslahi na mnaimia kuona wenzenu wanakula na mnataka na nyie mkale.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Sidhani kama wananchi wa Tanzania wanashida sana na vyama. Wanachagua wanachagua mtu na sio vyama. Ni mjinga tu ndie ataamini kuwa kila aliye chadema ni msafi na kila aliye ccm ni mbaya. Na kwa taarifa yako bora hata ccm wanaozoefu kidogo wa mambo wanaweza kuingia hao wengine ndio kila kitu...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Tatizo kuna watu mnaendekeza vyama kuliko utu na nchi hii ni habari ya kujiuzulu makamu wa rais af kuna mtu anasema Lema ni nabii unabii unahusikaje hapa?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wakoloni walishajenga mabwawa ya umeme kama hili la Nyerere kwa kitambo sana!

    Kwa nini unadhani mitambo ya geothermal iwe affected na high temperature na ya hidro isiwe affected na water.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wakoloni walishajenga mabwawa ya umeme kama hili la Nyerere kwa kitambo sana!

    Gharama za uendeshaji wa thermal power plant ni zipi mkuu?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wakoloni walishajenga mabwawa ya umeme kama hili la Nyerere kwa kitambo sana!

    Thermal power plant ina gharama gani ya uendeshaji mkuu?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    H Wewe ni chizi kweli na mpira hujui yaani mechi moja ndio unaanza kupiga kelele humu jukwaani acha ujinga. Hamkuongoza ligi msimu uliopita kwa point 12 baadae mkaanza kuomba dua timu zingine zipoteze?
  13. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii game Carrick kazidiwa mbinu alianza na kikosi cha hovyo kama anafanya majaribio
  14. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nyie mwaka huu ndio mtajua Carrick vizuri, mwaka jana na ile timu mlishindwa kumfunga sembu sasa na akina Baleba ndani.
  15. C

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria kuwekeza viwanda vya korosho Tanzania

    Vyuo vyetu vya ufundi kama ATC, DIT na MUST kwa nini wasiwe na kitengo cha uanzishwaji na usimamizi wa viwanda vidovidogo yaani factory. Kweli hata kiwanda cha kubangua korosho waje wawekezaji wa nje?
Back
Top Bottom