Recent content by christeve88

  1. C

    JamiiForums Tanzania Sometimes Huhitaji Ushauri Wala Pesa… Unahitaji Tu Mtu Mmoja Akukumbatie na Kukuambia: Everything Will Be Okay

    Ndugu pole kwa unayopitia japo sijui tatizo ni nini ila machungu yoyote yale hasa yanayougusa moyo huwa yanaumiza sana. Cha kufanya usikatae tamaa wala muombe Mungu kwa imani yako kisha mshirikishe mtu ambaye ambaye unahakika ndiyo anayeweza kuwa faraja yako hapo haijalishi ni mzazi, mke au...
  2. C

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Simba inaweza kuwa na wachezaji sio wazuri sana ila hata kocha ana matatizo. Wasipotafuta kocha wa kueleweka wasahau makombe, haiwezekani timu inacheza mpira haueleweki kisha unamuacha Oura unamtoa Chama
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Sifurahi ukoloni au kutawaliwa na wageni ila kuna namna fulani inashangaza kuona watu wanatoroka kwa mamia kwenye nchi zao kukumbilia nchi za wakoloni yaani zilizokuwa zikiwatawala na wakifika kule hawataki kurudi kwenye nchi zao pamoja na changamoto mbalimbali za kibaguzi wanazopitia.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Connection walizopewa wageni.. Ndio zinazoitesa Tanganyika

    Tatizo huwa hamueleweki mnataka. Alikuwepo JPM alijaribu kupambana na hayo mnayoyasema mkamuita dictator na majina mabaya yote mnayoyajua, kitu ambacho kiliwashushia heshima sana. Kifupi ni kwamba JPM aliungana na wananchi dhidi ya uhalifu wowote wa kiuchumi nanyi mliunguna na wahalifu dhidi ya...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kwenye swala la maendeleo ukishawaingiza Chafema tu nakuona haupo serious. Hawa waliongoza kwa kiasi kikubwa kumpinga JPM kwa kigezo cha democrasia. Kipindi cha JPM walibadili siasa zao za hoja na kuanza kupinga kila kitu wakisema wanataka maendeleo ya watu na sio ya vitu hadi sijui hivyo vita...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kuitawala nchi nyingine na kuweka kuweka vibaraka. Gharama nafuu ni kuweka Vibraka. Wazungu wapo smart sana

    Unaweza kuwa ulikulia malezi ya hovyo sana, tabia ulizonazo wewe za kijinga unadhani wote tunafanya. Kilichokushinda kujibu hoja ni nini? Watu dhaifu kichwani huishia kuwaza vitu vya kijinga badala ya kujibu hoja.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kuitawala nchi nyingine na kuweka kuweka vibaraka. Gharama nafuu ni kuweka Vibraka. Wazungu wapo smart sana

    Kuna wakati tunaweza kuwatwika lawama mabeberu ila kuna mahali sisi kama wa Afrika hasa waafrika kusuni mwa sahara tunafeli. Ni jambo baya sana kumtupia mtu lawana kila unaposhindwa kufanya jambo. Tuna mifano mizuri ya nchi za Asia zilizotawaliwa kama sisi na zilikuwa masikini kama sisi, lakini...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Biashara ndogo ndogo ukizifanya kwa ukubwa na uweledi, zinaweza kukulipa mshahara ata zaidi ya milioni 50 kwa mwezi

    Rasilimali watu ni chache sana watakuibia na kuleta porojo kila siku, vijana wengi wa kitanzania hawajaandaliwa kufanya biashara wanapenda shortcut
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Messi anachukiwa sana, aliwakosea nini wanadamu? Je, chanzo ni kipaji chake au kuna jingine?

    Mzee Mess hafungi tu anadhalilisha, embu chukulia mfani ile chenga aliyemkata Jerome Boaten ile ni fedhaha kwenye mpira au ile aliyempiga Harry Kane hana akalamba mchanga.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Messi anachukiwa sana, aliwakosea nini wanadamu? Je, chanzo ni kipaji chake au kuna jingine?

    Hapa umemaliza mkuu hata mimi nilikuwa namchukia kwa kutufunga lile goli la kichwa kwenye fainali ya uefa 2011 hadi Sir Ferg akawa anatetemeka mkono ila baadae ni kajiona nautesa moyo wangu bure ikabidi nimkubali. Leo naangalia kombe la dunia kwa raha tu ningekuwa bado namchukia nahisi...
  11. C

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Mimi nashawangaa sana watu na chuki zao wanamponda kocha badala ya kumsifia Mess aliyeleta madhara.
  12. C

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Baada ya kufungwa Argentina Messi aliangalia juu nikajua hapa mwamba anakwenda kumaliza gemu.
  13. C

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Hawana akili halafu unakuta ni majitu mazima mengine yanajiita machambuzi
  14. C

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Wapuuzi sana wanaleta chuki zao kwenye ukweli.
Back
Top Bottom