Ndugu pole kwa unayopitia japo sijui tatizo ni nini ila machungu yoyote yale hasa yanayougusa moyo huwa yanaumiza sana. Cha kufanya usikatae tamaa wala muombe Mungu kwa imani yako kisha mshirikishe mtu ambaye ambaye unahakika ndiyo anayeweza kuwa faraja yako hapo haijalishi ni mzazi, mke au...
Simba inaweza kuwa na wachezaji sio wazuri sana ila hata kocha ana matatizo. Wasipotafuta kocha wa kueleweka wasahau makombe, haiwezekani timu inacheza mpira haueleweki kisha unamuacha Oura unamtoa Chama
Sifurahi ukoloni au kutawaliwa na wageni ila kuna namna fulani inashangaza kuona watu wanatoroka kwa mamia kwenye nchi zao kukumbilia nchi za wakoloni yaani zilizokuwa zikiwatawala na wakifika kule hawataki kurudi kwenye nchi zao pamoja na changamoto mbalimbali za kibaguzi wanazopitia.
Tatizo huwa hamueleweki mnataka. Alikuwepo JPM alijaribu kupambana na hayo mnayoyasema mkamuita dictator na majina mabaya yote mnayoyajua, kitu ambacho kiliwashushia heshima sana. Kifupi ni kwamba JPM aliungana na wananchi dhidi ya uhalifu wowote wa kiuchumi nanyi mliunguna na wahalifu dhidi ya...
Kwenye swala la maendeleo ukishawaingiza Chafema tu nakuona haupo serious. Hawa waliongoza kwa kiasi kikubwa kumpinga JPM kwa kigezo cha democrasia. Kipindi cha JPM walibadili siasa zao za hoja na kuanza kupinga kila kitu wakisema wanataka maendeleo ya watu na sio ya vitu hadi sijui hivyo vita...
Unaweza kuwa ulikulia malezi ya hovyo sana, tabia ulizonazo wewe za kijinga unadhani wote tunafanya. Kilichokushinda kujibu hoja ni nini? Watu dhaifu kichwani huishia kuwaza vitu vya kijinga badala ya kujibu hoja.
Kuna wakati tunaweza kuwatwika lawama mabeberu ila kuna mahali sisi kama wa Afrika hasa waafrika kusuni mwa sahara tunafeli. Ni jambo baya sana kumtupia mtu lawana kila unaposhindwa kufanya jambo.
Tuna mifano mizuri ya nchi za Asia zilizotawaliwa kama sisi na zilikuwa masikini kama sisi, lakini...
Mzee Mess hafungi tu anadhalilisha, embu chukulia mfani ile chenga aliyemkata Jerome Boaten ile ni fedhaha kwenye mpira au ile aliyempiga Harry Kane hana akalamba mchanga.
Hapa umemaliza mkuu hata mimi nilikuwa namchukia kwa kutufunga lile goli la kichwa kwenye fainali ya uefa 2011 hadi Sir Ferg akawa anatetemeka mkono ila baadae ni
kajiona nautesa moyo wangu bure ikabidi nimkubali. Leo naangalia kombe la dunia kwa raha tu ningekuwa bado namchukia nahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.