Recent content by christeve88

  1. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Kumbe huwa unafuatilia wanavyopigwa. Hivyo pale alikaa nje sio?
  2. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Kwa hiyo ofisi yake unadhani ni sebule? Netanyahu unamuulizia kwani huwa humuoni?
  3. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Unaleta porojo hapa maneno mengi hakuna point. Unajua ni kwa nini hawakumuua wakati ana andamana na raia? Unadhani hawakumuona? Ni kwa sababu wanajali raia. Sasa kama hawajifichi tuambie Mojtaba yupo wapi.
  4. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Ndio maana nasema kuna shida mahali, hivi unadhani US na Israel wanashindwa kupiga vyanzo vya maji na umeme? Ikiwa wameweza kuuwa viongozi wanaojificha watashindwa vip kufungua huo mfereji. Amerca na Israel wana huruma na wa Iran nadhan kuliko hata hao viongozi wao. Kawaida ya Trump huwa...
  5. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Katika wajinga humu nadhani wewe ndio unaongoza na sisi tunafuata. Ni mpuuzi tu ndio anaweza aminishwa na kauli za wanaharakati unazozileta hapa wakati Iran wamepigika na bado wanaendelea kuchapika. Sasa hivi Israel anaamumua tu kiongozi gani wa Iran aendelee kupumua na yupi amuondoe, wewe...
  6. C

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Kujifariji nayo ni njia nzuri ya kupunguza machungu.
  7. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ndugu akili za kuambiwa changanya na zakwako. Pia ujue kutofautisha wachambuzi na wanaharakati.
  8. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Watakuwa wanapigwa angani na ardhini.
  9. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wanaweza kupita naye muda sio mrefu. Mimi huwa nashangaa sana viongozi wa Iran sijui kwa nini huwa wanatoa siri zao, sasa kama mnao huo uwezo simuwafanyie suprise chap.
  10. C

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Ungekuwa ndio uwezo wangu Dar ingebaki kama mji au jiji la zamani ila miji yoyote inayojengwa sasa hasa Dodoma ingejengwa kisasa ili iweze kustaimili majira yote ya mwaka hasa mvua. Nadhani wengi tunadhani kuwa jiji ni maghorofa ila majiji yanapaswa yawe na mpangilio unaoeleweka na usafi na...
  11. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mkuu mbona kama wewe ndio unaleta porojo? Embu tuambie alipo Mojtaba.
  12. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nilijua baada ya Iran kushambulia vituo vya nuclear vya Israel haya ndio yatakuwa malipo, jamaa wanajua kuwachomoa viongozi aisee.
  13. C

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Israel kuandama ni ruksa huko Iraia ni ngumu maana ni kama raia wapo jela.
Back
Top Bottom