Unaleta porojo hapa maneno mengi hakuna point. Unajua ni kwa nini hawakumuua wakati ana andamana na raia? Unadhani hawakumuona? Ni kwa sababu wanajali raia. Sasa kama hawajifichi tuambie Mojtaba yupo wapi.
Ndio maana nasema kuna shida mahali, hivi unadhani US na Israel wanashindwa kupiga vyanzo vya maji na umeme? Ikiwa wameweza kuuwa viongozi wanaojificha watashindwa vip kufungua huo mfereji. Amerca na Israel wana huruma na wa Iran nadhan kuliko hata hao viongozi wao.
Kawaida ya Trump huwa...
Katika wajinga humu nadhani wewe ndio unaongoza na sisi tunafuata. Ni mpuuzi tu ndio anaweza aminishwa na kauli za wanaharakati unazozileta hapa wakati Iran wamepigika na bado wanaendelea kuchapika. Sasa hivi Israel anaamumua tu kiongozi gani wa Iran aendelee kupumua na yupi amuondoe, wewe...
Wanaweza kupita naye muda sio mrefu. Mimi huwa nashangaa sana viongozi wa Iran sijui kwa nini huwa wanatoa siri zao, sasa kama mnao huo uwezo simuwafanyie suprise chap.
Ungekuwa ndio uwezo wangu Dar ingebaki kama mji au jiji la zamani ila miji yoyote inayojengwa sasa hasa Dodoma ingejengwa kisasa ili iweze kustaimili majira yote ya mwaka hasa mvua. Nadhani wengi tunadhani kuwa jiji ni maghorofa ila majiji yanapaswa yawe na mpangilio unaoeleweka na usafi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.