Recent content by christeve88

  1. C

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Mimi nadhani ipo hivi Ulaya kwa kiasi kikubwa ilijengwa na Africa ila wakati huo wazazi na babu wa kizungu waliteseka kwa ajili ya vizazi vyao na wajukuu zao hivi sasa wanakula matunda. Waarabu wamekuwa wakitamba na mafuta sasa tunapoelekea kulingana na mabadiliko makubwa ya kitechnolojia...
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Solksher hakuwa kocha mbaya kwa utd alifit vizuri tu kilichomponza ni kuwakumbatia wavivu kama Pogba, Rashford, Sancho na Martial alishindwa kusoma alama za nyakati hii ilileta mgawanyiko kwenye timu. Ni kocha mjinga tu ndio anaweza kumuweka Cavan bench akamuanzisha Martial. Hili kwa Carick...
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba ijiongeze nje ya uwanja kwa gharama yoyote lasivyo Yanga anaenda kubeba kombe mara ya tano, aibu hii

    Ushauri wangu Simba inapaswa wa focus kimataifa zaid hii ligi inavitu vingi sana za ajabu ajabu na mshindi hupatikana kwa njia nyingi sana.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Msigwa hapaswi kupewa heshima ya kurudi CHADEMA. Anapaswa kupewa Uanachama wa kawaida chini ya Uangalizi Maalum

    Hujui siasa wewe unaendeshwa na mihemko. Siasa ni kama timu ya mpira mchezaji anaweza sajiliwa sehemu yeyote ile endapo atahakimishiwa number na maslahi mazuri au mwingine anaweza hama si kwa sababu ya maslahi bali kwenda kutafuta makombe, sasa kama wewe hadi leo unaamini wanasiasa ni maadui upo...
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    united tayari tunaongoza mbili huko
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mbinu nitakazotumia kuzalisha megawatts laki 2 kwa kupitia gesi asilia nikiwa Rais wa Tanzania

    Tunaomba ufafanuzi mkuu madhara yake ni yapi?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Una upeo mdogo sana wewe unajua nguvu ya jeshi wewe.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Mkuu yanakutoka kichwani haya? Au unafikiri huo u super power Marekani alijipa mwenyewe?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Kuna mataifa yanngekuwa na nguvu Marekan dunia nzima ingelazimishwa kuamini wanacho amini wao na kuishi chini ya sheria kali. Uzuri wa Marekani wao wanaangalia maslahi na sio dini.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Iran wanaiogopa MOSSAD

    MOSSAD wakikutaka mkuu ni kama wanakuwa wamekuanzima uhai. Muda wowote wakiutaka wana kupokonya.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Trump atangaza kuwa Iran imekubali Urani yake ipelekwe Marekani; huku Iran yenyewe ikisisitiza kuwa hakuna kitu kama hicho!

    Trump huwa hana siri ya sirini anayatoa hadharini tena anawahi kuyatoa haraka ili achukue point.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Nadhani ukweli unaujua sasa acha watwangane.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Samahan mkuu nimeuliza swali la hamas na Israel wewe unaiza swali la Amerca, Japan na Iraq bila kunipa jibu langu. Huu ni ustarab kwel
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Nina swali mkuu naomba nijibiwe kistarabu. Je ni kweli kuwa Hamas walivamia Israel oct 7 na kufanya mauaji ya haliki kwa raia ikiwemo kuwabaka mbele ya jamii zao?
Back
Top Bottom