Recent content by christeve88

  1. C

    IMF: Tanzania ni moja ya nchi 10 vinara zenye uchumi mkubwa zaidi Barani Afrika kwa mwaka 2024

    Ni kwanini Ethiopia uchumi wake unaonekana mzuri ila raia wake wana maisha magumu?
  2. C

    Naomba kujuzwa faida za kuwa na GREEN CARD ya Marekani

    Daaah! Kwa jinsi ninavyochukia kubaguliwa naweza ishi nchi za watu kweli?
  3. C

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Ikiwa unaanza na herufi kubwa baada ya nukta hapo ndipo nilipogundua hakuna unachoelewa.
  4. C

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Chadema ni chama kikuu cha upinzani hili halina ubishi. Tatizo la chadema kwa sasa imepoteza viongozi wenye mvuto japo hawataki kukubali. Wao wamejikita na chuki dhidi ya JPM wanadhani hichi kitawasaidia kumbe ndio kinawauwa kabisa. JPM bado anaishi kwenye mioyo ya watu wengi pamoja na makosa...
  5. C

    Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

    1. Nitahakikisha askari magereza wote wanaishi kwenye kota zenye hadhi yaani namaanisha zenye hadhi na garden kali, hili nitalifanya ndani ya miezi minne tu. Haiwezekani watu wanasimamia nguvu kazi ya wafungwa halafu wao wanaishi mazingira ya kinyonge. 2. Nitapandisha hadhi ya Elinu hasa Elimu...
  6. C

    Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

    Yaani hawa wanatuona watu wajinga sana
  7. C

    Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

    Ukiwajibu na ukawatumia screenshot za hizo hotel wanakupa kama elf 5 kisha wanatoa task kama 3 au 5 hivi unakuwa umekusanya kama elfu 30 hiv kisha wanakwambia uchague sijui maherufi A, B, C hadi D kila moja ina bei yake kisha wanakutumia number ya kuweke hiyo hela then wakutumie ile 30 yako na...
  8. C

    RC Makonda: Nyie Wafanyakazi wa TRA mkistaafu mtakuja Kuwa Wafanyabiashara hivyo tendeni Haki mkijua kuna kesho!

    Laiti binadamu wangekuwa wanatambua kuwa kuna kesho tungeheshimiana.
  9. C

    Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

    Siasa ni watu na watuvni myaji kwa mwanasiasa.
  10. C

    TAMISEMI kuwasilisha bajeti yake bungeni kesho 16/04/2024

    Moja ya voongozi kichwa sana huyu sasa sijui kana atakumbuka kulipa malimbikizo ya watumishi.
  11. C

    USHAURI kwa Makonda na kampuni za utalii namna ya kukuza utalii jijini Arusha

    Utaliivwa usiku utafaa sana Arusha hasa kwenda kuchakata nyama kwa Morombo.
  12. C

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Umeandika kishabiki kweli mbona kama tumeambiwa Jdan kazidungua drines kadhaa?
Back
Top Bottom