Mimi nadhani ipo hivi Ulaya kwa kiasi kikubwa ilijengwa na Africa ila wakati huo wazazi na babu wa kizungu waliteseka kwa ajili ya vizazi vyao na wajukuu zao hivi sasa wanakula matunda. Waarabu wamekuwa wakitamba na mafuta sasa tunapoelekea kulingana na mabadiliko makubwa ya kitechnolojia...
Solksher hakuwa kocha mbaya kwa utd alifit vizuri tu kilichomponza ni kuwakumbatia wavivu kama Pogba, Rashford, Sancho na Martial alishindwa kusoma alama za nyakati hii ilileta mgawanyiko kwenye timu. Ni kocha mjinga tu ndio anaweza kumuweka Cavan bench akamuanzisha Martial. Hili kwa Carick...
Hujui siasa wewe unaendeshwa na mihemko. Siasa ni kama timu ya mpira mchezaji anaweza sajiliwa sehemu yeyote ile endapo atahakimishiwa number na maslahi mazuri au mwingine anaweza hama si kwa sababu ya maslahi bali kwenda kutafuta makombe, sasa kama wewe hadi leo unaamini wanasiasa ni maadui upo...
Kuna mataifa yanngekuwa na nguvu Marekan dunia nzima ingelazimishwa kuamini wanacho amini wao na kuishi chini ya sheria kali. Uzuri wa Marekani wao wanaangalia maslahi na sio dini.
Nina swali mkuu naomba nijibiwe kistarabu. Je ni kweli kuwa Hamas walivamia Israel oct 7 na kufanya mauaji ya haliki kwa raia ikiwemo kuwabaka mbele ya jamii zao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.