Chadema ni chama kikuu cha upinzani hili halina ubishi. Tatizo la chadema kwa sasa imepoteza viongozi wenye mvuto japo hawataki kukubali. Wao wamejikita na chuki dhidi ya JPM wanadhani hichi kitawasaidia kumbe ndio kinawauwa kabisa. JPM bado anaishi kwenye mioyo ya watu wengi pamoja na makosa...
1. Nitahakikisha askari magereza wote wanaishi kwenye kota zenye hadhi yaani namaanisha zenye hadhi na garden kali, hili nitalifanya ndani ya miezi minne tu. Haiwezekani watu wanasimamia nguvu kazi ya wafungwa halafu wao wanaishi mazingira ya kinyonge.
2. Nitapandisha hadhi ya Elinu hasa Elimu...
Ukiwajibu na ukawatumia screenshot za hizo hotel wanakupa kama elf 5 kisha wanatoa task kama 3 au 5 hivi unakuwa umekusanya kama elfu 30 hiv kisha wanakwambia uchague sijui maherufi A, B, C hadi D kila moja ina bei yake kisha wanakutumia number ya kuweke hiyo hela then wakutumie ile 30 yako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.