Le mutuz t was 80% - 20% sababu ya elimu . .now is 2013 hesabu vyuo hesabu shule the more ccm wil educate us th mo we wil knw th truth. .ccm hawakuruhusu upinzani kwa huruma kama umesoma CONDITIONS WORLD BANK NA IMF <SAP> . . .hope u did. . .kuhusu la mke wa sugu ni jambo la mtu binafsi, mbona...
Ma shushushu ni watu wenye akili sana na they are not alone sio kua nilikua cjui ninachoki type 4 what i blv is mrema alii establish t.l.p akiwa nccr mageuzi ili kuwagawa wafuasi wa nccr na watakao mfuata t.l.p.
Mapema leo bungeni mh. mkosamali NCCR Mageuzi akitoa hoja amefurahisha wengi baada ya kusema mh. Mrema anajipendekeza kwa CCM kwa kubaki bungeni wakati wapinzani wenzie wametoka ili alipwe fedha zake za pensheni.
Wengi tunafahamu Mrema alikua waziri na mpaka kufikia cheo cha naibu waziri mkuu...
ndugai ndo sio mstaarabu kama uli check bunge alikua akimuelekeza afisa usalama a deal na sugu .wewe hujiulizi kama amri ilikua ni kumtoa mbowe kwanin sugu ndo alitolewa kwa nguvu. . .hii ilikua ni kulipa kisasi baada ya kushindwa kesi ya upumbavu wa pm
Kama huku mtaani umeshawahi ku pata harassment kutoka kwa polisi hakika utamuunga mkono mh. Joseph mbilinyi, tofauti na nchi nyingine polisi wa tanzania wamekua most brutal. Kama ingekua ni tz waandamanaji kuzunguka bungeni na kumwaga nguruwe na damu bungeni kama kenya ffu wote wangehamia eneo...
Kwa VIONGOZI CHADEMA. .Haya ni maoni yangu binafsi naomba yawafikie viongozi wa chama. Wenzetu wa cuf na nccr mageuzi wamekua pamoja nasi jana na juzi bungeni wakitusupport na hata kumlinda kiongozi wa upinzani bungeni mh.mbowe, hii imetuonyesha wapinzani ni wapi na ccm b ni wapi <t.l.p> hivyo...
Unakidhibitisho gani kua sugu alifanya vurugu. . .kama uliangalia bunge job ndugai alikua akimuelekeza kwa kidole afisa usalama kumtoa nje sugu. .ndo mana akangangania meza na kutoka na mic. .na kumfanyia hvyo sugu c kumdhalilisha sugu ila wabunge wote . . .tusubiri tuko nao mitaani waheshimiwa...
Actualy jana hakukua na parliament fight sababu wabunge wa cdm hawakuanzisha vurugu ila walikua wanamlinda kiongozi wa upinzani, spika ndugai ndo akaamuru polisi waonyeshe upolisi wao baada ya polisi kuonekana wakiwapa heshima wabunge wa upinzani hapo ndipo naibu spika alipoonekana akimwelekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.