Mkuu salaamu! Pole na shughuli check na jamaa wanaitwa DILA AFRICA wana shughulika na ufugaji wa Sungura wa kisasa wastani wa kilo wa Sungura wao ni kilo nne hadi sita wana kuuzia na kukupa utalamu pamoja wa kukufunga hao Sungura wakifika wakati wa kuwauza wao wenyewe ndiyo wanunuaji last wiki...
Siyo kweli Mkuu Lipumba hana wafuasi wengi labda Slaa lakini hata ukiwachanganya wote wawili kura zao haziwezi kufikia nusu ya kura za LOWASSA huo ndiyo ukweli UKAWA kwa upande wa uraisi wameshinda hilo halina ubishi ila kwa vile yenye mamlaka ya kutangaza mshindi ni Tume hakuna namna ya...
Mkuu salaamu! Kabla ya kuanza kumkashi mtu fanya utafiti kwanza, Mbowe kazaliwa kwenye ukoo wa pesa baba yake walikuwa bega kwa bega na narehemu baba wa Taifa katika mipango ya kudai uhuru baba aliwaunnga mkono kwa kutoa sehemu ya pato kutoka kwenye familia yake ila mambo ya TANU yaende ndiyo...
Salaamu! naomba tuwe wakweli UKAWA tangu uanze mfumo wa vyama vingi safari wamepata mafanikio makubwa kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru wapinzani wanamiliki HALMASHAURI 20 ktk hizo Halimashauri majiji yote makubwa yapo ndani yake hivyo wanastahili pongezi ukizingatia uchaguzi haukuwa huru...
Mkuu hakumlalamikia uteuzi wa Magufuli alikuwa analalamikia utaratibu ulitumika kuchuja wao ambao hawakuingia Tano bora ni jambo la kawaida kabisa kuhoja kama unaamini umeoneo mbona raisi mstaafu alivyokatwa 1995 nae alilalamika hivyo ni haki yake ya kikatiba.
Uzuri wa Nchimbi hana jazba...
Wakuu salaamu! Huyu jamaa nilikuwa nadhani mie pekee nilikuwa sikubaliani nae kwa namna anavyowavamia CHADEMA kumbe tupo wengi, kwa muonekano wake tu ni wakishalishali walitoka CHADEMA kwa madai kuwa viongozi wa juu wanatamaa ya madaraka cha ajabu huko walipo ACT madaraka yote ya juu wamepeana...
Kwanza arudishe nyumba za serikali alizowapa vimada wake na mdogo wake baada ya kughushi nyaraka za serikali akawafanya kama watumishi wa serikali wakati siyo kweli!!!!
kwa arudishe nyumba za serikali alizowapa vimada wake na mdogo wake baada Ya kughushi nyaraka za serikali na kuwafanya kama watumishi wa serikali wakati siyo kweli !!!
Ni ukweli usiopingika!!!! unakuta mgombea UDIWANI wa CCM anatumia hadi Milioni 5000 na WABUNGE nao ndiyo balaa hadi bilioni na ushee, ndiyo maaana dili haiziishi serikalini kwababu unakuta pesa nyingi wamekopa.
Lakini yote haya yanasababishwa NA watanzania wenyewe kwa kutojielewa.
Wakumbuke pia kuchukua ushahidi wa EPA,ESCROW,MEREMETA,KIWILA,HASARA TUNAOINGIA WALIPA KODI KWA KULIPA MABILIONI KWENYE HOTEL ZAO KWA AJILI YA PANGO LA WATUMISHI WA SERIKALI WASIOKUWA NA NYUMBA BAAADA YA NYUMBA WANAZOTAKIWA KUKAA KUPOLWA NA WATAWALA,BUZWAGI,ATC,IPTL.PAP,SIMBA TRUST!
Mkuu hongera ila umesahau ZAIDI BILIONI 160 YA MISHAHARA HEWA KILA MWAKA, MICHANGO YA ELIMU YA MSINGI NA SECONDARI, WATOTO NA WAZEE KUKOSA DAWA KAMA SERIKALI INVYOJINADI BUNGENI NA GHARAMA YA KUWAWEKA MAWAZIRI NA WATUMISHI WA SERIKALI HOTELINI BAAADA YA NYUMBA KUKWAPULIWA!!!!!!!!!
Nimemsikia Afande Kova kupitia ITV akipinga maandamano kuanzia Buguruni kwenye ofisi za CUF kwa sababu LOWASA ni mgombea wa CHADEMA SIYO WA CUF WALA NCCR, hivyo wanachojua maandamano yataanzia Kinondoni na kurudi Kinondoni na wapo tayari kwa ajili ya kutoa ulinzi WA kutosha! na akaongeza CCM...
Wanajamvi salaamu!
Lipumba mkwala wote kwa Serikali kumbe alikuwa anazuga ndiyo maaana CUF ina wabunge wawili tu bara.
MTU mzima kaumbuka vibaya, live bila chenge anajifanya ustadhi kumbe anakamata pombe kama kawaida na usaliti kwa UKAWA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.