Recent content by chrilula

  1. C

    Natamani kuchana vyeti!

    Siyo kwamba wengi wetu tunasoma bila kujua nini hatima baada ya kupata cheti, nadhani hujafanya utafiti wa uhakika. Unafikiri watu wanaokula ugari na mlenda wanapenda, wanaopanda daladala wanapenda, omba omba wanapenda :kama una uwezo wa kujaji, jaji kwa uangalifu. Hivi hujui kuwa waweza andaa...
  2. C

    Wadau eti barua ya kuomba kazi kwa taasisi za uma zinandikiwa kwa mkono au kuchapisha?

    Nakushauri kwamba barua ya maombi haichapwi, kama mwandiko wako nawe washangaaaaaaaa, unyoshe afu ndo upeleke maombi yako
  3. C

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    Swala siyo kuishi au kutegemea wazazi au mashemeji, jambo la kujiuliza ni kuhusu serikali yetu pamoja na nchi yetu, nini serikali imefanya kwa lengo la kufungua fursa vijana wajiajiri, kama serikali yaendelea kudidimiza sekta binafsi huyo unayetaka ajiajiri mfano kwenye kilimo yupi akanunua...
  4. C

    Nyie wahitimu kwanini msijiajiri

    Sio kila fikira ya kujenga inasimamisha jengo, afu kumbuka kuhesabu hatua kwa fikira ni rahisi kuliko vitendo
  5. C

    Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

    Unajua kuna kundi moja linasema mtandaoni unachagua unachopenda. Hivyo kwako wewe umechangua pocket yako kuwapa madada hamna swala la kuomba ushauri. Komaa hivyohivyo uliingia mwenyewe
Back
Top Bottom