JERRY,
Naunga mkono hoja, Kama sio Raisi Magufuli kuongozwa na hekima ya MUNGU juu ya hili janga Tanzania ingekuwa habari nyingine; Naweza kuamini kuwa Magufuli aliletwa na Bwana Mungu wa majeshi kusudi atuvushe ktk hali Ngumu za majanga mbalimbali na yeye pekee ndiye aliyemteua kuweka Hekima...
Rejea mada hapo juu, Brela husajili Kampuni kama zilivyotajwa hapo juu. Kinachozungumziwa hapo ni bidhaa zinazomwendea mlaji ambao ni ubunifu wa kampuni husika ili kuliteka soko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakosea kwa sababu bajaj ni brand name ya kampuni inayotengeneza hizo bidhaa na kuna utofauti wa matoleo kama unavodhani Vitz au IST hiyo ni brand ya Toyota labda ubuni jina lingine kama unalengo la kushushia hadhi hayo matoleo
Namna nyingine, Kimsingi maisha tuishiyo yapo pande 2, a)Ulimwengu wa roho (Giza na Nuru) na b) Ulimwengu wa mwili. Jambo lolote ktk maisha tuishiyo chanzo chake huanza ktk roho ndipo hutimilika ktk mwili. Japo kuna baadhi ya mambo huishia ktk roho hayajidhihirishi ktk mwili kutokana na sababu...
Kiukweli kuna suala la imani hapo, japo wengi hupuuza na hawamini kwa hili; C jambo la kumlaumu ni vema familia pamoja na yeye kusimama ktk ukombozi wa kristo yesu kwa hakika minyororo alofungwa itakatika na kubaki huru ama kwa hakika ukimdodosa kisaikojia utangundua kuna chanzo na yeye hawez...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.