Upasuaji wa kwanza wa kupandikiza kichwa(world's first human head transplant)

carcinoma

JF-Expert Member
Mar 5, 2017
5,059
13,719
Kwa mara ya kwanza tangu kuumbwa kwa dunia hii tutashuhudia opareshen kubwa ya kupandikiza kichwa cha mtu.

Tarehe ya opareshen ilishapangwa itakua mwezi wa 12,2017
opareshen itafanywa na madaktari na manesi 150 kwa pamoja wakiongozwa na daktari mtaalamu wa mishipa ya fahamu(neurosurgeon) Sergio Canavero.
Opareshen inakadiriwa kutumia masaa 34.

Gharama za opareshen hii ni dolla za kimarekani mil 30..Inasemekana kuwa dr sergio Canavero alifanya utafiti kwa miaka 30 hadi mwaka huu 2017 ambapo opareshen hii itafanyika..

Walioko interested na medical issues ngoja tusubili kama itafanikiwa na mgonjwa ataishi baada ya hio transplant. Tukae mkao wa kula hadi hio December kushuhudia kitakachotokea
 
Tafiti zilizochapishwa katika majarida ya The Journals Surgery and CNS Neuroscience & Therapeutics zinaonyesha kuna uwezekano mkubwa wa operesheni hiyo ya kupandikiza kichwa ( head transplant) kwa binadamu kufanikiwa kwa kiwango kikubwa, ingawaje ushahidi wa kisayansi wa majaribio yaliyofanywa kwa wanyama kama nyani na panya hauwezi kutegemewa kama ndio hitimisho kwa mwanadamu.

Screenshot_2017-04-13-12-31-28-696.jpeg



video: panya aliyefanya spina cord surgery
 
kwa mara ya kwanza tangu kuumbwa kwa dunia hii tutashuhudia opareshen kubwa ya kupandikiza kichwa cha mtu.
Tarehe ya opareshen ilishapangwa itakua mwezi wa 12,2017
opareshen itafanywa na madaktari na manesi 150 kwa pamoja wakiongozwa na daktari mtaalamu wa mishipa ya fahamu(neurosurgeon) Sergio Canavero.
Opareshen inakadiriwa kutumia masaa 34.
gharama za opareshen hii ni dolla za kimarekani mil 30..
inasemekana kuwa dr sergio Canavero alifanya utafiti kwa miaka 30 hadi mwaka huu 2017 ambapo opareshen hii itafanyika..



walioko interested na medical issues ngja tusubili kama itafanikiwa na mgonjwa ataishi baada ya hio transplant
tukae mkao wa kula hadi hio december kushuhudia kitakachotokea
Upandikizaji huu utafanyika kwa mtu gani? Yaani mtu aliyezaliwa bila kichwa au mtu aliyekatwa (akafa) au.......naomba kueleweshwa
 
Uje haraka huku kwetu maana vichwa vya baadhi ya haviendani na matendo yao, labda hii itatusaidia wtz.
 
Upandikizaji huu utafanyika kwa mtu gani? Yaani mtu aliyezaliwa bila kichwa au mtu aliyekatwa (akafa) au.......naomba kueleweshwa
hapa kuna mgonjwa mmoja wa kirusi ambae anaumwa werdnig-hoffmann desease uginjwa ambao hauponi ameamua kwa hiari yake kujitolea kichwa
 
Back
Top Bottom