Hutuwezi kumpa Ubunge mtu ati kisa anatoa maziwa shuleni!...huo ujinga peleka huko....Sisi tutampa Ubunge mtu ambaye atakuja plans za namna ya kutengeneza ajira kwa wana Iringa iwe through kuboresha kilimo au kufufua viwanda hatujui....kinachotakiwa ni availability ya ajira, afya na elimu...
Unaongea theory gan wewe!.....Unataka Mbowe afanye nini ili umwamini.....Alichongew ni issue ya kwamba watu muamke mdai haki yenu....sasa kusema humwamini mpizani inatoka wapi!.
Hauna uelewa juu ya hili daraja: SIYO DARAJA LA KWENDA BUSISI,ni daraja la busisi....ilinaunganisha mikoa ya mwanza, Kagera pamoja na nchi jirani.....uwe unaelewa kwanza.
But amesema fedha za miradi.....siyo matukizi mengine mfano matumizi ya kwenda kununua vifaa.....kwa hiyo nadhani hapo hata kama fedha ilitoka lakin ilikuwa siyo mradi means hakuna lolote.
umeanza vinzuri kabisa....but mwishoni ukaharibu..pale uliposema "jiji la dar ni sehemu yote ya Ilala tu". Hii siyo kweli kabisa...Kama ulivyosema wewe mwenyewe kuwa hadhi ya juu kabisa ya halmashauri ni jiji...na kwa kuwa Ilala ndio iliyopqndishwa hadhi na kuwa jiji, maana yake jiji hilo ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.