Yupo wapi kiungo fundi na matata wa kiganda?.Patricky Ochang' waliosajiliwa pamoja na sammata kutoka simba kwenda TP Mazembe.Kuna kipindi Mazembe wachezaji wengi waliopita hapo walikuwa wakilalamika kuwa imekuwa na desturi ya kubania wachezaji wanapopata deal la kwenda kwenye team za ulaya...
Kuna abiria alijaribu kujikuna,Dereva akamwambia hajaribiwi,yeye sio kama yule Dereva mwingine aliyekuwa anachezewa chezewa tu,hivyo huyo abiria aliyejaribu kujikuna akaufyata kwa kuwa hakupata ushirikiano kutoka kwa abiria wengine.mwisho wa siku Dereva anazidi kuendesha gari kwa kujitanua tu...
Hukusoma vizuri na kuielewa hiyo Tweet ya Mayor.Mayor anasema amevamiwa na askari watatu wenye sare za JWTZ.Na hajasema amevamiwa na JWTZ.kwa hiyo wanaweza kuwa vibaka ila wamevalia mavazi ya namna hiyo.
Adui wa mwl ni mwl mwenyewe.
Sekta ya afya walifika huko baada ya akina ulimboka kutolewa meno yote ya sebuleni.wenzetu kenya walipachimbisha kwa mda wa miezi mitatu,wakafanikiwa,watanzania walithubutu tu mwaka 2010,kwa siku tatu baada ya baadhi ya wanachama wao kukosa tenda ya sensa kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.