Nani anajenga hii reli 😂😂
Inajengwa na siafu au mchwa? Sababu sijaona constructor wala mtambo site!
Funny enough sijaona hata balozi wa nyumba kumi kutoka Malaba 😂
https://x.com/i/status/2034548944789815623
Wakienda wapi? 😂😂 The only tourist attraction in Nairobi is Nairobi NP ambayo hata 100k international visitors kwa mwaka haipokei in real sense, au unataka kusema giraffe manor nayo is worth mentioning here! 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.