Tanzania's High school
https://www.instagram.com/reel/DVykLiBDBdt/?igsh=MW56bjU0Nmw5eWpiaQ==
Kenya's University
https://x.com/i/status/2043932485151604818
The stadium looks so basic from inside out all don't have that wow factor to be honest, colors are horrific especially chairs decayed already before launching
Mnasemaga watanzania wana jealous kwa Kenya angalia comments za watanzania kwa Talanta halafu angalia comments za wakenya kwa arusha stadium utajua wapi wanakuwaga sadistic and jealous
Ndio tatizo za siasa za kikabila, kila Rais anapeleka maendeleo alipotoka, Nairobi ipo vile tu sababu ni capital city, national economic center na tayari Muingereza alishaiendeleza, Mombasa ni sababu ni national overseas economic gateway lakini kama si hivyo hata hiyo Nairobi ingekua sawa na...
Kwenye issue ya makazi Kenya wapo kwenye level ya necessity wakati Tanzania tupo kwenye level of convenience sio bora tu nyumba, je hilo eneo/nyumba lina preferences za owner! Wakati Kenya wao ni bora uwe na paa kujikinga mvua na jua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.