Unayozungumza hapo bwana Dafi ni mambo ya kirasimu. Issue muhimu katika watu 533 waliofanyiwa uchunguzi je ni kweli 15.6% kati walionekana kuwa na virusi vya Zika au la. Na kama walitest positive, jibu ni kwamba zika ipo at large. Tusiweke price tag kwenye haki ya msingi ya kuishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.