Recent content by Chomi

  1. C

    Ufafanuzi wa kutumbuliwa Dr. Mwele na kuhusishwa na Waziri Ummy

    Unayozungumza hapo bwana Dafi ni mambo ya kirasimu. Issue muhimu katika watu 533 waliofanyiwa uchunguzi je ni kweli 15.6% kati walionekana kuwa na virusi vya Zika au la. Na kama walitest positive, jibu ni kwamba zika ipo at large. Tusiweke price tag kwenye haki ya msingi ya kuishi
  2. C

    Sitasahau siku niliposhuhudia rafiki yangu akimezwa na chatu

    Mtoa taarifa anasema 'alipoteza fahamu kwa muda' angempigaje chatu akiwa hana fahamu?
  3. C

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Naomba breakdown ya cost kwa eka ya kuandaa shamba la vitinguu swaumu poa ni mida gani tangu kupanda hadi kuvuna
  4. C

    Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

    Namba yangu ni 0655881133, ninahitaji haraka iwezekanavyo kilo 250
Back
Top Bottom