Recent content by cholya

  1. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo karagwe/kagera nije misungwi ,magu,ilemela na nyamagana .uni pm
  2. C

    Nani mmiliki wa Kiwanda cha Sita Steel?

    kiwanda kilianzishwa mnamo miaka 1990's na wamiliki walikuwa sita(6).kwa sasa baadhi walijitoa na wanaosimamia ni watoto wao mmoja anaitwa HITTEN NA MWINGINE JAY.Pia mzee mmoja ambaye mzazi wao anaish kenya ambako kuna kiwanda kingine kama hicho.
  3. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    watu wa karagwe njooni kwenu
  4. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani njooni karagwe mie nije geita mjin,vijijin ,misungwi,sengerema,magu na nyamagana
  5. C

    Rais ajaye awe na sifa zifuatazo

    Hivi ni kweli hawa wagombea uraisi wanaweza kukomesha rushwa?
  6. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    natafuta mwalimu wa kubadilishana naye ,yeye karagwe mim niende magu, misungwi,nyamagana,ilemela au sengerema
  7. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anayetaka kuja karagwe mkoa wa kagera mimi nije magu, misungwi ,sengerema au nyamgagana mkoa wa mwanza. jaman nawasubir mnitafute vp hamna.
  8. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo karagwe mkoa wa kagera bac mie nije geita
  9. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    idara gan na unataka kwenda wapi?
Back
Top Bottom