Recent content by Choi Kang Ta

  1. C

    Naomba kujibiwa swali langu, sitapenda kejeli kwa wajibuji

    Pia dini ni hatari na sumu mbaya sana kwa maisha ya binadamu. 80% ya changamoto za maisha ya watu katika dunia hii inachangiwa na uongo na upotofu wa mafunzo ya dini. Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
  2. C

    Naomba kujibiwa swali langu, sitapenda kejeli kwa wajibuji

    Tatizo kubwa ni ujinga na kutoelewa lengo la maisha. Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
  3. C

    Mrejesho na ufafanuzi: Yatokanayo na tiba ya chumvi

    Hello comrade. Maji ya baridi tu au hata ya moto ni sawa.
  4. C

    Elimu juu ya pepo/mapepo

    Mzee mmoja alishafariki kwa sasa, Munga Tehenani alikuwa akiandika sana juu ya mada hizi. Na kwa kweli alikuwa vizuri. Mshana ana vitu ila........
  5. C

    Msaada madaktari kwa huyu mtoto.

    Sawa, ngoja nigoogle.
  6. C

    Msaada madaktari kwa huyu mtoto.

    Daktari yeyote mwenye uelewa na utaalam juu ya tatizo hilo. Mimi sio daktari ninachohitaji ni maelezo, ufafanuzi na ushauri wa madaktari au wataalam wenye uelewa juu ya tatizo hilo. Nahitaji kuona huyu mtoto anasaidiwa.
  7. C

    Msaada madaktari kwa huyu mtoto.

    Mimi sio dactari na vipayu sivifahamu ndugu. Hiyo hali binafsi imenishangaza na ningependa kuona anatibiwa na kupona.
  8. C

    Msaada madaktari kwa huyu mtoto.

    Nilikuwa kijijini, nimeitembelea familia moja huko kijijini na kumkuta huyu mtoto akiwa na tatizo la nywele kuisha anabaki na vipara kama amenyolewa na wembe. Picha inaelezea zaidi, naomba muitazame vizuri. Naomba kuelimishwa juu ya ugonjwa/tatizo hilo na tiba yake. Ninataka kumsaidia huyu mtoto...
  9. C

    Waziri Kigwangalla afanyiwa maombi na wazee wa kimila na waganga wa kienyeji

    Unauhakika kuwa yesu aliwahi kuwepo duniani na si imaginary figure!? Una uhakika yesu ndiye mwanzilishi wa ukristo duniani!? Unafahamu mini juu ya uyahudi, ukristo na uislamu!? Unaweza kunichambulia kwa kina ufanano na utofauti wa imani/dini hizo kwa kuzingatia historia na misingi mikuu ya imani...
  10. C

    Waziri Kigwangalla afanyiwa maombi na wazee wa kimila na waganga wa kienyeji

    Hizo dini za ukristo na uislamu pia si za wayahudi. Ni za wazungu na waarabu.
  11. C

    Chanzo cha kuibuka waganga matajiri ni tamaa za watu!

    Kwani waganga hawako chini ya mwamvuli wa imani!?
  12. C

    Chanzo cha kuibuka waganga matajiri ni tamaa za watu!

    Umewaongelea waganga, Vipi wachungaji na manabii!? Wanatofauti gani Haswa!?
  13. C

    Bibi Tina wa Mwananyamala

    Kwa sababu your story is fiction, watu wanaamini kuwa ni kweli na wewe unafurahi. Huo sio uongo!?
  14. C

    Bibi Tina wa Mwananyamala

    Wewe ni muongo sana. Lakini I do appreciate your talents! Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa...
  15. C

    Fumbo la Eden! Nani aliwaambia wako uchi?

    Umenifurahisha! Na ulitaka kupatia kidogo. Japo Bible imeandikwa kuwa walikula tunda la kati lakini haikumaanisha hivyo! Ukweli ni huu naombeni muelewe:- 1.Mungu aliwaumba Adam na Hawa wakiwa na Umri gani? Bible haiko wazi na wengi hawjiulizi hilo, hivyo kuwafanya washindwe kuelewa juu ya hii...
Back
Top Bottom