Recent content by Choda

  1. C

    Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

    Mdogomdogo wenye macho yaonayo wataiona rangi na sura halisi ya CHADEMA. Mungu atuzidishe busara.
  2. C

    CHADEMA kweli mnapinga ufisadi, lakini mbona CAG kawaumbua?

    Tutasikia mengi. Hivi kuna ukweli eti Mchawi msibani hulia pengine kuliko baadhi ya wafiwa?
  3. C

    Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

    Labda mtuambie, mna hofu gani juu ya Lowasa? Hatujiamini kwenye sanduku la kura kuanzia Chamani kwake? Kwa nini kila siku Lowasa? Miaka ile ya misuguano ya kidini nchini mwetu, niliipenda sana kauli ya Kiongozi mmoja wa juu wa moja ya dini kubwa, alisema "badala ya kutumia muda wetu kufundisha...
  4. C

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    wa Miavuli', kawagawieni kila mkoa 1bn (bila shaka vijana mlizipata), na maamuzi mengine meeengi ya ajabu ajabu! Leo mnashangaa na kulalamika wkt mnajua hajawahi kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha ubongo? Kila mchuma janga hula na nduguze vijana wa Tz.
  5. C

    Hi Wana Jamii!

    Wana Jamii Forum Nami nimetinga ndani ya jahazi hili la Jamii, twende pamoja.
Back
Top Bottom