Recent content by chizabrain

  1. C

    Bwana Mkubwa, acha kupoteza muda kujibizana na wanaokukosoa mara kwa mara

    Ushauli mzuri Sana,Kama bwana mkubwa atautekeleza. kwa maoni yangu akiwa anatoa hutuba awe anasoma hutuba sio kutoa kichwani nadhani itawezaa msaidiaa.
  2. C

    Hatimaye Serikali yaanza kuwalipa wakulima wa korosho. Tayari wakulima 2,348 walishaingiziwa fedha zao.

    Mkuu watumishi wakiweka indirect resistance tutakaaumiaa ni sisi watu wa Hali ya chini,Mambo yatalibika lakini bado tu ataendeleaa kutawala mpaka 2025 mungu akimjaliaa pumzi.
  3. C

    Dau la Taarifa za kupatikana kwa Ben Saanane!

    mimi pia ntachangiaa elfu 5
  4. C

    Nani mzalendo wa kweli kati ya Rais Magufuli na Tundu Lissu?

    jpm ni mzalendo kwa maneno lakini lisu ni mzalendooo kwa vitendo na maneno
  5. C

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    mkuu VP laptop ya bei ya chini kabsa shilingi ngap mkuu
  6. C

    Binti usilie ndo ukubwa huo

    hongera sana mkuu naona umetumiaa fasihi kufikisha ujumbe kwa hadhira
  7. C

    Rais alisoma hotuba kwa kutumia kifaa kiitwacho TELEPROMPTER

    mkuu ata mm nilijua inamkinga na risasi nashukulu mleta Uzi kwa kunitoa ushamba
  8. C

    Kutoka Dodoma: Mgana Msindai atangaza kurejea rasmi CCM

    amerudi kwa kushawishiwa ajarudi kwa mapenzi yake
  9. C

    Mrema: Nilifanya biashara yenye faida na Magufuli

    yani mrema anamatatizo makubwa sana anashindwa kujua yupo sehemu gani na anatakiwa kuongea nini ni aibu sana kwa mtu mrema
  10. C

    Vyuo vya diploma

    mzumbe diploma ya law
  11. C

    Application za vyuo (Diploma)

    am sure. but unataka kusoma diploma ya faculty gan mkuu
  12. C

    Application za vyuo (Diploma)

    wiki ijayo mkuu. nacte watafungua tena dirisha la udahili
  13. C

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    mm naona mtangazaji anatumikia ------ ili apate chake asije akavukuzwa kazi kama tido muhando
Back
Top Bottom