Recent content by CHIZA SAFARI

  1. CHIZA SAFARI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilifata hii sema nikaongeza kiburi, hela ya bia ikapatikana.
  2. CHIZA SAFARI

    Mipango yangu: Miaka 10 ijayo nataka kuwa nina milioni mia tano benki

    Mwenyezi Mungu akubariki utimize malengo yako.
  3. CHIZA SAFARI

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Pole sana, vipi kwa babu hamkurudi tena?
  4. CHIZA SAFARI

    Bandari ya Mombasa Yatoa Ofa Kwa Mizigo ya Congo DRC na Kutishia Uhai wa Bandari ya Dar. TPA na Serikali mmejipangaje?

    Wacha Hustler atukimbize, sisi tumekomaa na mitozo na mighalama isiyo na maana.
  5. CHIZA SAFARI

    Upigaji Uyui: Waziri Mkuu ashangazwa kibanda cha Mlinzi VETA kujengwa kwa Tsh. milioni 11, aagiza waliyosimamia ujenzi kukamatwa

    Kwa akili ya kawaida kabisa hakuna haja ya kuagiza PCCB, ni maamuzi tu ya hapo hapo.
  6. CHIZA SAFARI

    Mtoto wa Simbachawene alimwa faini ya tsh. 250,000/=

    Kijana anaongea tu watu washaua na kupigwa faini ya 30k sema unaweza kwenda kutoa ghalama za mazishi tu kwa ndugu. Haya mambo yapo sana sema tozo na ujinga umetupofusha.
  7. CHIZA SAFARI

    Waziri Makamba: Umeme utaendelea kukatika mpaka tumalize maboresho. TPSF wamshukia kama mwewe

    Hawa wase.nge wana kibri sana awamu hii ya tozo
  8. CHIZA SAFARI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mpaka sasa upo kwenye right direction mzee
  9. CHIZA SAFARI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii mechi ya Yanga kama una mtaji cheza double chance ya 1or 2
Back
Top Bottom