Recent content by Chiwetalu agu

  1. C

    Uchumi Bila siasa ya vyama vingi

    Ugonjwa wa Depression Bipolar ni hatari sana
  2. C

    Humphrey Polepole: CCM tunaendelea kujipanga kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu

    Hizi taarifa huwa mnazidaka wapi? Mbona yaliyotabiriwa na mleta mada ndo nayaona mubashara. Dah.
  3. C

    Mama Maria Nyerere avunja Ukimya, aungana na Vijana wazalendo kulaani kutukanwa Mwalimu

    Wanaigeria wanakamsemo kasema," WHAT AN OLD MAMA SEES ON TOP OF A TREE,A YOUNG FOOL CANNOT SEE THE SAME UNDER A TREE" Huu ni msemo wa wachache.
  4. C

    Swali Gumu: Wakuu hivi ni sahihi Rais wa Nchi moja Kumfundisha kazi Rais wa nchi nyingine!?

    Fuatilia Waganda wanavyobeza kozi hii kule twitter
  5. C

    Afrika Kusini: Mahakama ya Gauteng yaamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa inashikiliwa nchini humo kuachiwa. Hermanus Steyn akata rufaa

    Markets Total Suspends Planned $3.5 billion Uganda-Tanzania Oil Pipe By Fred Ojambo and Paul Burkhardt September 4, 2019, 10:55 AM EDTUpdated on September 4, 2019, 12:01 PM EDT
  6. C

    TBC mnamtukuza Rais Magufuli mpaka mnakera

    Babangu akitaka kututimua sebuleni huwa anaweka TBC. Anajua hapo lazima kaa ainue gando kuashiria mambo yamekatika
  7. C

    Maandamano ubalozi wa South Africa nchini yatahatarisha usalama wa watanzania South Africa.

    Ni kweli Mkuu. Ujinga wa Wazulu ni kwamba HAWAWEZI KUTETEA MATUMBO YAO NA KUPOTEZA UTU WAO KWA VIPANDE VITATU VYA SHABA!!!
  8. C

    Askofu Bagonza: Mwaka 2015 hatukuchagua malaika kutuongoza bali binadamu dhaifu. Ukiitwa Dhaifu usikasirike, haujakamilika

    Ni kile chuo ambacho Ukoo wenu wote unaweza kuishia kukisikia kwenye radio!!! A SILLY QUESTION WILL ALWAYS MEET AN AWKWARD ANSWER.
  9. C

    Wahamiaji haramu: Makonda aagiza kila mtaa jijini Dar es Salaam uwe na daftari la wakazi wageni wakija wasajiliwe

    Tujitahidi tukidhi mahitaji ya dunia ya sasa. Kutumia daftari kwa sasa ni ngumu
  10. C

    Wananchi 7,000 wanufaika na umeme

    Tanesco wanashangaza
  11. C

    Taratibu naanza kuona dalili ya Uhusiano mbaya unakuja kati ya ' Wazito ' hawa Wawili ndani ya Chama cha CCM

    MKUU HUU NI UNABII MZURI. UZI HUU UTAKUMBUKWA SIKU SI NYINGI. TIME WILL TELL.
Back
Top Bottom