ni kweli na wao kiukweli wanashindwa kuzivunja kwa sababu zishakuwa taasisi (zinabeba maslahi ya wengi katika jamii) lakini ukiwabana vizuri wnakwambia hii inawezekana wanapeleka kibali kwa askofu maisha mengine yanaendelea.
nimekosea kidogo lakini ndivyo ilivyo kwakuwa asili ya ndoa sio mtoto au muda umefika ila ni upendo.
na Mapadre ukiwauliza watakwambia ndoa nyingi zinazofungwa huwa sio ndoa ila wanazifunga kwakuwa waliokuja wameamua kuoana na huenda huko mbele zikawa ndoa.
wako wadada wanaolewa kusudi lao ni...
kama swala ni mtoto usijaribu.
hata hivyo miaka mitano ni michache sana.
zamani ningekujibu inbox lakini kwa faida ya wengi na kwakuwa sasa nimekuwa mtu mzima naomba nikujibu haphapa.
kwanza niktaarifu kuwa mimi ni mmoja ya watu waliokaa muda mrefu bila mtoto nikiwa na mke kwa ndoa halali ya...
kwanza nikubali kuwa mimi binafsi ni mbonge wakutosha!
sio kwamba tuna roho nzuri hapana.
uvivu wetu wa kumiliki mwili mkubwa ndio unasababisha tuwe hivyo
hatutaki kukumbana na changamoto na hii inawezekana na changamoto tulizonazo (japo si kwa ushuhuda wa daktari lakini kwangu hili ndilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.