tulipofikia tuuvunje tu kwakuwa unatutia hasara na hasira kubwa achilia maumivu ambayo jamii haitakaa isahau maisha yake yote. Wameshalilia wembe nafikiri tuwape Mapanga yatawafaa zaidi kwakuwa hawatajichanja tu kidole bali wataweza kukatana shingo nafikiri hii inafaa zaidi.
Kwa bahati mbaya...
ni kweli na wao kiukweli wanashindwa kuzivunja kwa sababu zishakuwa taasisi (zinabeba maslahi ya wengi katika jamii) lakini ukiwabana vizuri wnakwambia hii inawezekana wanapeleka kibali kwa askofu maisha mengine yanaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.