Recent content by Chiwa

  1. Chiwa

    Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    uzi unaenda kasi sana kwa majibu mafupimafupi
  2. Chiwa

    Kwa sifa hizi; Mabasi ya Shabiby Line Toleo Jipya ndiyo bora zaidi.

    bado hamjasema ngoja siku sio nyingi mwendawazimu mwingine atakuja kututandazia reli kusini iungane na hiyo ya huko ndo itakaa sawa.
  3. Chiwa

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    upaaji wa kishada ulishwa na uzi wake
  4. Chiwa

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    hata lisipokuwepo linaonekana linakuja inawezekana march tusitoboe
  5. Chiwa

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    ni kweli na wao kiukweli wanashindwa kuzivunja kwa sababu zishakuwa taasisi (zinabeba maslahi ya wengi katika jamii) lakini ukiwabana vizuri wnakwambia hii inawezekana wanapeleka kibali kwa askofu maisha mengine yanaendelea.
  6. Chiwa

    Kukojoa haswa kwa WANAUME sana sana asubuhi halafu unajamba inatokana na nini?

    jaribu kunywa maji ya kutosha wakati mwingine kujamba ni dalili ya kuwa mwili hauna maji ya kutosha.
  7. Chiwa

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    nimekosea kidogo lakini ndivyo ilivyo kwakuwa asili ya ndoa sio mtoto au muda umefika ila ni upendo. na Mapadre ukiwauliza watakwambia ndoa nyingi zinazofungwa huwa sio ndoa ila wanazifunga kwakuwa waliokuja wameamua kuoana na huenda huko mbele zikawa ndoa. wako wadada wanaolewa kusudi lao ni...
  8. Chiwa

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    kama ni ya kikatoliki ndoa kama hii haipo na haijawahi kuwepo inavinjwa fasta kwakuwa kigezo hakikuwa upendo bali mtoto
  9. Chiwa

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    kama swala ni mtoto usijaribu. hata hivyo miaka mitano ni michache sana. zamani ningekujibu inbox lakini kwa faida ya wengi na kwakuwa sasa nimekuwa mtu mzima naomba nikujibu haphapa. kwanza niktaarifu kuwa mimi ni mmoja ya watu waliokaa muda mrefu bila mtoto nikiwa na mke kwa ndoa halali ya...
  10. Chiwa

    Tuambizane ukweli, hivi ulishakutana na bonge mwenye roho mbaya au chuki zisizoeleweka?

    kwanza nikubali kuwa mimi binafsi ni mbonge wakutosha! sio kwamba tuna roho nzuri hapana. uvivu wetu wa kumiliki mwili mkubwa ndio unasababisha tuwe hivyo hatutaki kukumbana na changamoto na hii inawezekana na changamoto tulizonazo (japo si kwa ushuhuda wa daktari lakini kwangu hili ndilo...
  11. Chiwa

    Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

    kuna graduate ni pato la mwaka mzima kwa hiyo wapo watakao umia pia
  12. Chiwa

    Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

    hongera sana. ila inabidi utulie usifikirie kisasi usipokuwa makini baada ya miezi mitatu kipato hicho ni chakawaida sana kwakuwa fedha inaweza kukuelekeza wewe badala ya wewe kuielekeza fedha. harakaharaka kama hiyo ni basic unaweza kuwa na house allownce 1,200,000 na kuwa na gross 7,200,000...
Back
Top Bottom