Wengi wenu mnazungumzia NEW SELANDER BRIGE ambalo limejengwa mwaka 1982 kwa msaada wa Japan. Lakini pale pembeni pana daraja la mwanzo OLD SELANDER BRIGE ambalo lilijengwa mwaka 1929 na wakoloni wa Kiingereza na kupewa jina la huyo afisa JOHN SELANDER aliyefariki mwaka 1927.
Wazo la ujenzi wa...
Kanisa lipi? taja jina la Kanisa na Mahala lilipo ili ujumbe ufike usieleze jumla jumla. Kwa mfano, Kanisa letu la Mt. Yohane Mtume na Mwinjili Tegeta halina Matangazo mengi ya kufika muda huo unaosema wewe.
Yeye amejuaje kuwa tatizo ni lishe. Anatakiwa aishie kuomba wataalamu kufanya utafiti wa chanzo cha tatizo, inawezekana lishe ni tatizo moja tu kati ya mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.