Recent content by CHITAKO

  1. C

    Ugonjwa wa kujikuna wa hivi karibuni usio wa kawaida je umekupata?

    Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa Azuma ile yenye mg 500 pata dozi, tatizo litaisha, mimi mwenyewe nimehangaika sana lakini baada ya kutumia hiyo dawa nimepona kabisa
  2. C

    MSAADA KUHUSU KAMPUNI YA EBAY

    nimelinki master card na paypal
  3. C

    MSAADA KUHUSU KAMPUNI YA EBAY

    Habari za kazi wadau,naombeni kusaidiwa kwa hili.Nimenunua mzigo ebay leo asubuhi kwa kutumia paypal,lakini baada ya muda kuingia tena kwenye akaunti yangu ya ebay,nimeshindwa tena kuingia.kila nikijaribu nakutana na neno YOUR ACCOUNT HAS BEEN SUSPENDED.Hivyo naombeni msaada namna ya kurudisha...
  4. C

    MSAADA KWA TULIOKOSA CHAGUO LA KWANZA

    Naomba kujuzwa wadai kwa wale ambao tumekosa kuchaguliwa kwa awamu ya kwanza,kwa mfano awamu ya kwanza niliomba Udom,lakini pia kwa awamu ya pili nataka niombe tena hapo udom,Je kuna haja tena ya kulipiwa upya?au ile ada ya mwanzo ndo itatumika?
  5. C

    MSAADA KUHUSU POSTAL CODE

    Yaani postal code ya mkoa wa mkoa wa mbeya ni 53000,pia paypal wanahitaji digit 6.Mimi nataka nikiagiza mzigo uje Mbeya,je nikiweka ya dar haitaleta shida?
  6. C

    MSAADA KUHUSU POSTAL CODE

    Nimejaribu lakini imeshindikana za mkoa wangu ni zaidi ya nne yaani ni 53000
  7. C

    MSAADA KUHUSU POSTAL CODE

    Habari za kazi wadau,nilikuwa najisajili katika mtandao wa PAYPAL kwa ajili ya manunuzi mbalimbali lakini kuna kipengele cha kujaza postal code,nilivyojaribu kuweka postal code ya mkoa wa mbeya nilipo kwasasa kutoka orodha iliyopo kwenye website ya TCRA,hizo code zimegoma.Hivyo naomba msaada...
  8. C

    Msaada: Kuwashwa mwili mzima kwa mtoto

    Wadau habari za kazi, Naombeni msaada, nina binti yangu wa miaka 8 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa. Akianza kuwashwa anajikuna sana,tumeisha enda baadhi ya hospitali lakini bado ufumbuzi haujapatikana. Mara nyingi tumeambiwa ni mzio,na ametumia dawa lakini hajapata nafuu.Tatizo hili...
  9. C

    Uliza chochote kuhusu matatizo ya hardware kwenye laptop na desktop

    Mkuu mi laptop yangu ni Hp window 8,nimejaribu kuunganisha na printer HP laserjet p1000 and p1500 series,inagoma,nimetumia manual istallation lakini pia inasumbua.Naomba ushauri juu ya hilo tatizo.
  10. C

    MSAADA: Je, kati ya Suzuki Jimny na Suzuki Kei ipi inafaa kwa safari ndefu?

    Poleni na kazi wadau, Naomba kujuzwa kati ya gari aina ya suzuki jimny na suzuki kei, ni ipi inafaa kwa safari ndefu pia perfomance ya injini kwa zote ikoje. Ninatanguliza shukrani.
  11. C

    Msaada printer inakosa mawasiliano na laptop, hivyo kushindwa kuprint

    Tatizo ni kama nilivyoeleza mkuu,nilibadili kwenda 8,then nikarudi 7 baada ya kuweka 8,ikagoma ndo nikarudisha ya zamani,pia ikagoma.
  12. C

    Msaada printer inakosa mawasiliano na laptop, hivyo kushindwa kuprint

    Ikigoma,inawasha taa nyekundu kama inataka kuprint,mwishowe inakuwa kimy.
Back
Top Bottom