jifunze kauli mzuri laana unajua ww,, inawezekana ww ndo umelaaniwa,, usitake kumchagulia MTU marafiki,, kwan wanaohamia chama chako huko CCM wana miaka mingap? ndo waje kujua mapungufu ya CCM leo,, yaan walikuwa hawayaoni siku zote au kwakuwa huko wamekosa nafasi walizitaka,, nyie ndo mnawaona...