nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
iko hivi chadema wanabomoa ccm. act wanajitaidi kubomoa chadema
Naona wewe ulikuwa nje ya Tanzania,kama ulikuwa unaamini kama act ni chama cha upinzani,act ni mtoto wa ccm ili waubomoe upinzani
hiyo style inaitwa KOMESHA CCM KAHAMA , huyo mzee wala hata hakujua kinachoendelea kashangaa tu yuko angani ! visokolokwinyo mmeumia sana , na bado !![]()
Duh! YAANI KIONGOZI WA WATU, MIONGONI MWA WATU, KWA AJILI YA WATU ANAKUBALI KUFANYIWA UPUUZI SAMPULI HII? KWAKWELI BADO KABISA TUNAHITAJI UKOMBOZI WA KIFIKRA!
Ni hapo atakapoangukia pua! Tunamtakia kustaafu kwema!hiyo style inaitwa KOMESHA CCM KAHAMA , huyo mzee wala hata hakujua kinachoendelea kashangaa tu yuko angani ! visokolokwinyo mmeumia sana , na bado !
Kuchimba shimo ni kazi na kulifukia ni kazi vile vile lakini ya kufukia ni rahisi.Hivi kwani wanalazimishwa kwenda huko ACT??
Nauliza tu!!
Wanabomoa kivipi?Sasa ndio nimeamini Chama cha ACT ni mpini wa kudhoofisha upinzani.
Chadema imekuwa ikijijenga siku hadi siku na mpaka sasa inaendelea kupokea viongozi mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kibaya zaidi, wakati wakijenga chama, ACT wanabomoa.
CDM mafarisayoACT wasaliti
what goes around comes around,CCM wanajenga CDM wanabomoa....n so on...Sasa ndio nimeamini Chama cha ACT ni mpini wa kudhoofisha upinzani.
Chadema imekuwa ikijijenga siku hadi siku na mpaka sasa inaendelea kupokea viongozi mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kibaya zaidi, wakati wakijenga chama, ACT wanabomoa.
Wanabomoa kivipi?Sasa ndio nimeamini Chama cha ACT ni mpini wa kudhoofisha upinzani.
Chadema imekuwa ikijijenga siku hadi siku na mpaka sasa inaendelea kupokea viongozi mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kibaya zaidi, wakati wakijenga chama, ACT wanabomoa.
Hii hapa je? Acha wivu wa janamke shangingi la kizaramo wewe!!![]()
Duh! YAANI KIONGOZI WA WATU, MIONGONI MWA WATU, KWA AJILI YA WATU ANAKUBALI KUFANYIWA UPUUZI SAMPULI HII? KWAKWELI BADO KABISA TUNAHITAJI UKOMBOZI WA KIFIKRA!