Recent content by chips19

  1. chips19

    GWAJIMA: Mimi ndio chanzo cha Nape kuondolewa uwaziri

    Watu wengine bana eti leseni kama hujui siunyamaze tu!sijawahi kuisikia leseni ya kanisa!!!ahahahahahah
  2. chips19

    Msaada: Tecno w4 inaomba account

    Unatambua shida ya MTU safi sana kwa majibu mazuri wengine kama hamjui ni bora mnyamaze kuliko kucomment visivyofaa,sio wote wanaiba ila inatokea ukifanya restore kwenye baadhi ya Simu hata ukiingiza email ya zamani inagoma Mimi imenitokea kwenye Tecno N2 nahangaika nayo pia inataka e-mail...
  3. chips19

    Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

    Hilo ni tatizo la ac power android ambayo inazidiwa uwezo na apps so ipeleke kwenye ofisi za tecno popote Tanzania watakurekebishia bure coz simu za tecno zina warranty ya 1year
Back
Top Bottom