Ni sawa na neno tukuyu, jina Hilo lilitokana na mti wa mkuyu ambambo zamani ilikuwa sehemu ya kupumzika.watu walikuwa wakiacha kwenye shughuli zao wanaambiana tutakutana kwenye ule mkuyu sasa myakyusa kusema mkuyu alishindwa kutamka neno mkuyu ndio likatokea neno tukuyu.
Majina yote ya kilugha kwa wanyakyusa walitoa kutokana na tukio Fulani,mfano kuna ndugu yetu alipewa jina la tukhatele likiwa na maana tumechoka.alipewa jina Hilo kutokana na mama yake alikuwa akizaa watoto wanakufa,kwa hyo alivyozaliwa yeye wakasema wamechoka kuzika.mfano kyela kuna sehemu...
Wanakuwa ni wapole,wanyenyekevu na watu wanaojua shida ya mtu.hata akifanya tukio watu wanadai amesingiziwa kumbe ni mtu hatari.miaka ya 2000 kuna jamaa alikuwa anaitwa jombii kama sikosei watu wa mbeya wanamfahamu ukimuona unaweza sema umekuta na pasta kumbe ni mtu hatari.
Mkuu usikatishwe na watu wa mtandao,maisha yako ndio yatakayokufanya uingie mtaani na kupambana.katika maisha hakuna hela nyepesi lazima uitolee jasho.kiufupi mm nauza mayai ya kuchemsha kama ambavyo wewe wataka,nauza trei 6 kila siku na zinaisha sema nina madogo wanauza.ila ukiweka aibu pembeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.