Sijaona upendo na mshikamano kama jf.just imagine mtu kaandika ushuzi wa njano lakini bado wadau wanamsapot na kumpa pole huu ni upendo wa hali ya juu.
Nawaza huyo jamaa mama yake ni mchawi anamtaka mtoto ampe mikoba.mtoto atarudi ila jua atakua ametengenezwa cha kufanya nenda mwanza tumia nguvu au polis kumrudisha.fanya chap mama huyo mtoto hayuko salama kama unavozan
Hiyo nyimbo imepita mule mule.daah kwel dunia ina pande mbili.wengine wanasikiliza nyimbo kama burudan wakt wengine wanakuwa wametupa msg dunian kwamba n wale wale miaka yote.mandela unazid kunikosha.japo wadau wanasema n bla bla ila twende hivo hivo.vitu hiv n vichungu kama dawa vinaitaj maji...
Hhaha mandela bna.unapangilia mambo mpaka msomaji anaduwaa.ila bwana mandela aka simba mtoto hii msg ya kagame imetupwa kwa nan hasa.yaan ili jiwe nan anarushiwa gizan?
Mku faida ya mitandao n kuitumia vizur kama haujavunja sheria kwann uogope kusema.unachosema leo kitakua faida kubwa kwa vizaz vijavyo.ndo uzur wa mitandao.mbona bwana charles anaweka elimu vizur tu kwa manufaa ya weng.
Naomba utupe elimu hyo
Mchukue fund mwambie apime sentimeta 50 barabaran aweke alama.then achukue pipe level kutoka kwenye hiyo 50cm aende nayo mpaka site kwako nako aweke alama.kwa maana ya kwamba level ya 50cm ya barabaran ndo itakua level ya udongo utakao jaza site kwako.
Sasa bac nashaur jenga msingi wa mawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.