Recent content by Chingome

  1. C

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Naomba kujua bei ya injini ya townace 7k
  2. C

    Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

    Kwakua huyo dereva anatumia ARV hawezi kuambukiza,nilisikiaga hivyo sijui ni kweli
  3. C

    Mfumo Unaotumika Kwenye Sensa ni Uharibifu wa Fedha na Hauna Ufanisi

    Wote mnaopinga hamjajua namna zoezi hili lilivyo,hivi Kwa mfano mwenyekiti wa mtaa au kitongoji anawezaje kwenda peke yake kuhoji watu wanaoingia kiwanda Cha Dangote? Au ukute mtaa una lorge zaidi ya 3,na una hospitali kubwa,una stendi ya basi,etc,madhara yake hapo watu wengi hawatohesabiwa...
  4. C

    Mkuu wa Polisi rudisha Askari barabarani, Watanzania watakwisha kwa ajali

    Acheni hizo, kwani hizi AJALI zimeanza baada ya traffic kuondoka? Walipo kuwepo AJALI zilikuwepo na walikua wanasumbua madereva, kwahiyo Bora wasirudi tu
  5. C

    Polisi wafuata ushauri wa Kinana bila shuruti

    Yaani utakuta gari wanaijua Kila siku inapita lakini lazima Kila siku wakusimamishe
  6. C

    Azam TV fanyeni hivi

    Lakini pia Huwa wanaongea vionjo Ili kufurahisha hadhira,vitu ambavyo hata wachekeshaji wetu Huwa wanafanya na tunalipa Hela nyingi kwenda kuangalia( stand-up comedy)
  7. C

    Azam TV fanyeni hivi

    Taifa hili si la wasomi pekee,hivi we unafikili Kila mtu anapenda nyimbo za matusi za baadhi ya wana muziki wetu? Mbona nyimbo zinapigwa tena wachezaji wapo nusu uchi,hao wastaarabu na wasomi wapo wapi?Azam wekeni hiyo Channel mtapata wateja wengi tena hata mkikiweka kwenye premier watu tutalipia
  8. C

    Azam TV fanyeni hivi

    Sio ushamba sometimes zinapotezea mawazo,
  9. C

    Azam TV fanyeni hivi

    Azam TV nawashauri muweke Channel ya wanaotafsri muvi za Kihindi na kizungu kama akina Dj Mack. Juma Khan mtapata wateja zaidi.
  10. C

    Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu Msingi, Sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu Waongezeka

    Wew kweli ni Mwalimu,umeandika ukweli mtupu,mijini walimu ni wengi mno,wafanyiwe msawazo
  11. C

    Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

    Huyu sio mtumishi,hivyo anaona wivu watumishi kuongezwa mishahara
  12. C

    Freeman Mbowe alia ubaguzi katika mfumo wa elimu Tanzania

    Basi kiswahili kitumike kufundishia Awali Mpk Chuo kikuu na kusiwe na English medium ndani ya Nchi Ili tukuze kiswahili,ila Kwa hali ya Sasa Bora tuwe na English mwanzo mwisho
Back
Top Bottom