Recent content by Chingili

  1. Chingili

    Kuna mdada nimempa mimba alafu maisha yangu hayaeleweki. Nifanye nini?

    Kwanza hongera sana kwa kupata mtoto kingine ningekushauri kuwa sio jambo jema kutoa mimba,,,, " jaribu kutengeneza maisha sasa ya kuweza kuilea Mimba pamoja na mwenza wako anaitaji ukaribu wako sana sasa ukiwa umeanza kumkataa sasa uje unaweza kumsababishia kuweza kujichukulia hatua nyingine...
  2. Chingili

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nina malalamiko makubwa la kwanza na kuhusu uombaji wanguzo za umeme ,,,maana tume toa taarifa kuhusu kubadilishiwa kwa nguzo ya umeme maeneo ya hapa kwetu (Mbezi Mtoni ,fremu sita )nguzo imeoza mpaka basi tumetoa taatifa ta kubadilishiwa nguzo wanasema kuwa tutakuja kushughulikia mpaka sasa...
  3. Chingili

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Kitu kingine ttcl wekeni usawa jamam unaposema watumishi bando muwakumbuke wote jaman co watu waserikali tu na ma bank aise ... sio sawa kweli mnasema nyumban kumenoga wakati hata wafanya usafi maofisin na watu wenye makapuni mengine mna waninyima fulsa hiyo sio sawa aise
  4. Chingili

    Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

    Ila kumtoa Abood moro mjini ni shughuli sana na wananchi wanamkubali mno uyo babutale akamuulize afande sele alipata kula ngapi 2015
  5. Chingili

    Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

    Acha nicheke khaahaaaaaaaa haaaaaa uyo anajisumbua awezi kabisa kumtoa abood bus hapo Youngtong ndani ya nyumba labda aenda akagombanie samvura chore
  6. Chingili

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Habari kiukweli mwenzenu napata changamoto kubwa sana kwenye upande wa TTCL pesa kila wiki mnakuwa na tatizo la kununua vifurushi kupitia TTCL pesa maana unakuta muda mwengine vinagoma kabisa yaani... inafikia hatua hadi namba ya siri mnaifunga na kusema ni batili imekuwa ikinipa shida sana hilo...
Back
Top Bottom