TEC walienda ikulu kupeleka barua bila wewe kujua, how sure you're kama hawa kina TEC hawafanyii vikao vyao pale Ikulu bila wewe kujua?
#Mama Maria Msimamizi wetu!!!
Kamanda ameshasema aachwe.... Mbona hamsikii nyie?
Kamanda Lema anatembea na ule uzi wakina mzee Mandela, amesema kuna wengi mnapaswa kuwasaidia kabla yake manaake wana zaidi ya miaka 3 hawajapelekwa mahakamani.
Mwacheni Kamanda acheni viherehere
Malila
Darasa ulilotoa ni zuri sana hakika huu ni uwekezaji uliouwaza kwa zaidi ya miaka mitatu, unfortunately sikuwahi kupata info nilizozipata kwenye hii thread. Ningelipata mapema labda leo miti yangu ingekuwa na zaidi ya miaka 3. Lakini mungu alikuwa na makusudio yake!
Membership please...
Utaratibu ni kwamba watu wa usalama ndio husema wapi analala, na wakati mwingine anaweza akahama usiku akaenda kulala hata usipotegemea kabisa.
Unaweza kudhani unajua anapolala kumbe halali hapo. Sababu zakiusalama ndizo zinazopelekea hivyo.
Lakini kila Nyumba ya RC kuna "rest house" kwa...
Punguza negative attitudes kwenye kila kitu! Hakuna biashara isiyokuwa na changamoto, hata huo ufugaji wa kuku mimi nimewahi kufanya wakafa kwa ugonjwa wa Gumboro, lakini siwezi kusema hiyo hailipi kwasababu kuna watu wanatengeneza hela kila uchwao
Chukua hii kama utaona inafaa....
Fanya biashara ya mbao mkuu, nunua mbao border ya Tanzania na Mozambique njoo uuze dar.
Baada ya kulipa vibali vyote vinavyohitajika mbao(mninga) mpaka inafika sokoni (dar) itakuwa imekula 32k kwa kila moja.
Bia ya jumla sokoni sasa hivi ni 46k-50k
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.