dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,188
- 2,219
Musa alikuwa nao wawili
Yesu alisema kipofu akiongoza vipofu wenzake atawatumbukiza wote shimoni. Hicho ndicho Lusekelo alichofanya maana waumini wake wamepigwa upofu. Wanafuata anachosema hawafuati neno la Mungu kwenye biblia linavyosema. Lusekelo ametia aibu sana Ukristo maana alikuwa anaeleweka kuwa ni mtumishi wa Mungu. Kumbe ni mtumishi wa pombe na roho ya kuoa wake wengi (uzinzi)
Nmejikuta wakati flan nikitafakari sana matendo ya huyu anayejiita Mchungaji na kugundua ana mapepo na ni mtumishi wa shetani kabisa.
Kitendo cha kusema anamtafuta aliyesema wakristo waoe mke mmoja amhoji tayari anaonesha kuukana ukristo na kujihalalishia uzinzi.
Mungu angetaka adam awe na wake wengi angemtengenezea na mwingine.lakini hakufanya hivyo.kusudio la Mungu lilikuwa mke moja na mume mmoja. Kuhoji uhalali wa neno hilo tayari anaonesha ni mtu aliyekengeuka.
Ndugu huyu anayefahamika kwa majivuno na kiburi kinyume na matendo ya ukristo Yesu aliposema Mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu. Yampasa ajinyenyekeze na kujishusha kama mtoto mdogo.
Lusekelo ambaye ni juz juz tu alikumbwa na kashfa ya ulevi jambo ambalo ni aibu hata kwa mchungaj kusingiziwa. Bado hakuweza kujieleza akaelweka machoni pa watu wa Mungu.
Style yake ya mafundisho imejikita zaidi katika yeye kupokea sadaka na tunaona hata kwnye ibada anavyofurahia kutuzwa pesa. Na hapa ndipo ukristo unapozidi kujidhihilisha kuhusiana na siku za mwisho kutakuwepo na manabii na wa uongo na wachungaj wa aina ya lusekelo.
Haya ni mafundisho ya kishetani kabisa. Tamaa za mwili ndizo zinazoweza mkristo akahoji jambo kama hili.
Yesu anasema mwanaume atamwacha babaye na mamaye naye ataambatana na MKEWE na si WAKEZE. Mathayo 19:3-9
Ukina Mkristo anaanza kutaman yaliyo kwa shetan ujue tayar shetan ameshamkamata. Tuendako usishangae kusikia lusekelo anaruhusu waumini wake kuoa wake zaidi ya mmoja.
Jehova aliruhusu bila pingamizi lolote abraham awe na wake wawili,
jacobo awe na wake wanne,
solomoni wake elfu moja na vimada juu,
hata david nae akaoa wakati keshakua wa kutoa nje kuota jua.
Mimi naona lusekelo yuko sawa
Mungu angetaka adam awe na wake wengi angemtengenezea na mwingine.lakini hakufanya hivyo.kusudio la Mungu lilikuwa mke moja na mume mmoja. Kuhoji uhalali wa neno hilo tayari anaonesha ni mtu aliyekengeuka.
Nmejikuta wakati flan nikitafakari sana matendo ya huyu anayejiita Mchungaji na kugundua ana mapepo na ni mtumishi wa shetani kabisa.
Kitendo cha kusema anamtafuta aliyesema wakristo waoe mke mmoja amhoji tayari anaonesha kuukana ukristo na kujihalalishia uzinzi.
Mungu angetaka adam awe na wake wengi angemtengenezea na mwingine.lakini hakufanya hivyo.kusudio la Mungu lilikuwa mke moja na mume mmoja. Kuhoji uhalali wa neno hilo tayari anaonesha ni mtu aliyekengeuka.
Ndugu huyu anayefahamika kwa majivuno na kiburi kinyume na matendo ya ukristo Yesu aliposema Mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu. Yampasa ajinyenyekeze na kujishusha kama mtoto mdogo.
Lusekelo ambaye ni juz juz tu alikumbwa na kashfa ya ulevi jambo ambalo ni aibu hata kwa mchungaj kusingiziwa. Bado hakuweza kujieleza akaelweka machoni pa watu wa Mungu.
Style yake ya mafundisho imejikita zaidi katika yeye kupokea sadaka na tunaona hata kwnye ibada anavyofurahia kutuzwa pesa. Na hapa ndipo ukristo unapozidi kujidhihilisha kuhusiana na siku za mwisho kutakuwepo na manabii na wa uongo na wachungaj wa aina ya lusekelo.
Haya ni mafundisho ya kishetani kabisa. Tamaa za mwili ndizo zinazoweza mkristo akahoji jambo kama hili.
Yesu anasema mwanaume atamwacha babaye na mamaye naye ataambatana na MKEWE na si WAKEZE. Mathayo 19:3-9
Ukina Mkristo anaanza kutaman yaliyo kwa shetan ujue tayar shetan ameshamkamata. Tuendako usishangae kusikia lusekelo anaruhusu waumini wake kuoa wake zaidi ya mmoja.
Huyu Mzee ndio maana hata mke wake hasali kanisani kwake miaka yote anasali kwa Rwakatare.Nadhani anajua tabia za mumewe na kuwa si Mtumishi wa Mungu bali ni tapeli na mfuasi wa Lucifer!Mungu awafumbue macho hao waumini wake maana wengi watapotezwa na huyu jamaa(Na hili ndilo lengo la Ibilisi).Huyu anaonekana ana matatizo ya kisaikolojia tena yaliyosababishwa na ' FAMILY ' problem. Huwa naamini asilimia kubwa ya yale ayanenayo mtu kwa kuwafundisha wengine yamemtokea. Mpaka afikirie mke wa pili , na series za tuhuma za kale kakinjwaji , inaonhesha kuna kitu chini ya carpet .
Mzee wa bapa
Family problem...sureHuyu anaonekana ana matatizo ya kisaikolojia tena yaliyosababishwa na ' FAMILY ' problem. Huwa naamini asilimia kubwa ya yale ayanenayo mtu kwa kuwafundisha wengine yamemtokea. Mpaka afikirie mke wa pili , na series za tuhuma za kale kakinjwaji , inaonhesha kuna kitu chini ya carpet .