Naandika hii thread nikiwa ninaakili timamu. nchi kwasasa inafuraha naamani tele,maisha ya binadamu nimafupi Sana chamsingi kama rais wa nchi naomba nchi yetu ifanye iwe yenye furaha naamani kama Rais wetu jk alivyoifanya. Misingi ya haki iwekipaumbele hatakama wewe ni mwanasiasa ukifanya vyema...
Hivi ndugai spika wa bunge anahofu ya mungu kwel?. Samahani wadau nimewaza Sana hasa Sisi tunae tumia kula nyama ya ngurue 85% maranyingi akilizetu some time zinarogwa na akili za yule mdudu maana wala ngurue wengi ni wanafiki na wanaroho mbaya,onasasa. Marais wote mungu amewaita mapema na wale...
Tanzania tanzania! Ewekwako waziri mwenye dhamana na Tamisemi kwa sasa nakuomba acha kufanya kazi kwa mihemuko yakutaka kumfuraisha aliye kuteua pasipo kusoma nyakati ya utawala. Mh. Rais wa sasa hataki mijisifa kama aliyekufundisha kusema ukweli usoni na sio moyoni. Nimekufuatilia hotuba zako...
Kwanza naomba nikupongeze kwakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumteua Waziri mpya TAMISEMI najua uchapaji wake kazi sio wa kitoto.
Naomba mama ikikupendeza tendea haki uhamisho wa watumishi waliokamilisha uhamisho na kusubiri vibali kutoka tamisemi, maana kuna màmbo ambayo sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.