Mtoa mada katosheleza nami nimefanya kautafiti nimegundua kuwa nchi ambazo kuna mapigano ya kidini zote ni potential aidha zenyewe au jirani na nchi hizo, vitu kama mafuta, madini katika maeneo ya hizo nchi ndio mapigano ya kidini au sehemu ambazo ni potential kiusalama wa taifa fulani kubwa...
Mjin we mwenyewe. mshahara ushatoka kama kazi ya serikali huwezi kasukume mkokoteni inawezekana hujitumi kujenga taifa unawaza tu migomo hata aje nani hali ndo hii hii si ccm c chadema c caf si nccr nyani ni wale wale na msitu ni ule ule
hao wanaodai kuwa mkopo unachelewa wanapaswa kujifunza bajeti maana ukiwakagua utawakuta hela za mkopo zimeishia kwenye mawigi tchno,ipad, na mengineyo out zisizo za lazima. Msijione mko alone hii ni kawaida hata wafanyakazi huchelweshewa mshahara
maombi kweli kweli na kazi ndo hiyo bodi washaninyima hela nitakomaa ile mbaya sikati tamaa hata nyasi ntakula ila shule kama kawa pamoja one day utajasikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.