Recent content by Chimuson

  1. C

    Makamba chunga sana, hili la viroba linakuondoa kwenye uwaziri maana umekurupuka sana

    Makamba na sakata la Viroba simuelewi. Nape na sakata la kutetea brand kwa waharifu simuelewi. Kigwangala na sakata la kutangaza mashoga. Mwigulu na sakata la miili saba ilookotwa mtoni na kuzikwa kinyemela simuelewi Mwigulu na ukimya wake vita zidi ya dawa za kulevya simuelewi. Ndalichako...
  2. C

    Godbless Lema kuzungumza na wananchi wa Jiji la Arusha siku ya Ijumaa

    Kashajifunza,kasoma Biblia miezi minne kabadilika hawezi ropoka.
  3. C

    Makonda aporomosha matusi kwa mhariri wa gazeti baada ya kuulizwa kuhusu cheti chake cha Form four

    Nashangaa hata Gastura pia hajahakikiwa sijui kwa nini uhakiki huu umekaa ki hivi Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
  4. C

    Makonda aporomosha matusi kwa mhariri wa gazeti baada ya kuulizwa kuhusu cheti chake cha Form four

    Gazeti hili linamilikiwa na nani ? Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
  5. C

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Ukisikia yowe ujue limempata Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
  6. C

    Waziri Mkuu afuta posho kwa watumishi wa umma nchini

    Kweli kabisa kwa kubana matumizi huyu jamaa yuko sawa ila issue ya creativity watumishi wengi wa serikali yake hiyo kitu hawana hasa linapokuja suala la kubuni miradi endelevu ya uzalishaji ili kuongeza mapato ya halmashauri au taasisi wanazoziongoza utakuta wanawaza kuongeza tozo na utitiri wa...
  7. C

    Waziri Mkuu afuta posho kwa watumishi wa umma nchini

    Kweli kabisa kama ni kubana matumizi huyu ni kiboko lkn kwenye issue ya creativity watumishi wengi wa serikali yake hiyo kitu hawana hasa linapokuja suala la kubuni miradi endelevu ya uzalishaji ili kuongeza mapato ya halmashauri au taasisi wanazoziongoza utakuta wanawaza kuongeza tozo na...
  8. C

    Sitasahau siku niliposhuhudia rafiki yangu akimezwa na chatu

    Kwa akili ya kawaida ulitaka ukimbie kuita watu umbali wa km 7 na umkute rafiki yako akiwa hai? Watu wote walokulia vjjn ktk mazingira ya mapori huwa wanapewa mbinu za kujihami inapotokea kushambiliwa na wanyama ama viumbe hatari wa mazingira husika. Sasa wewe hukuwa hata umeambiwa kuwa chatu...
  9. C

    Mapokezi ya Lowassa Kagera: Ni ishara tosha kuwa tunachohitaji ni Tume Huru ya Uchaguzi

    Imetokea tu bahati mbaya hili janga la tetemeko limetokea kipindi hiki ametoa 6 million lkn kama janga hili lingetokea kipindi cha uchaguzi hakika ungejua jinsi huyu mzee anavyoguswa na shida za watanzania kwa uchache hapo angetoa 500 million
  10. C

    Wizi katika mashine za TRA za risiti Kariakoo

    Hauko serious mkuu huwezi nunua bidhaa ya 2m harafu ukapewa receipt ya laki 3 ukaridhika eti kisa umetukanwa? Swali la kwanza hyo bidhaa ilkuwa inapatkana duka hilo peke yake kwamba usingeweza kuipata duka jingine? Kama ndivyo ulishindwa kutoa taarifa police juu ya wizi huo? Maana we ndiye...
  11. C

    Operesheni UKUTA njia ya kumpeleka Magufuli ICC

    Kwani kuzunguka mikoani siyo jukumu la Rais? Basi hayo majukumu ya uraisi ni yapi?
  12. C

    Wizara ya Kilimo yatangaza kuhamia Dodoma wiki ijayo

    How comes uhamishe wizara na watumishi wake wote within a week? Haya matamko sometimes naona ni kama mtu yupo na kitwanga extra lager kichwani.
  13. C

    GEITA: Mchina amshushia kipigo kijana wa kitanzania hadi kumsababishia kifo

    Kuna wakati inapaswa watu tuchukue hatua mapema kuzuia uharibifu kutokea.Hivi mtu anapigwa mpaka anakufa wewe unaangalia tu hutoi msaada wa aina yoyote hata kupiga yowe badala yake upo busy kupiga picha urushe mitandaoni huu ni uungwana kweli? Sasa unapopost picha hzo nafsi haioni kama...
Back
Top Bottom