Hayo magumashi sio huko 2 ngoma TANESCO UKONGA toka mwezi 12 mwaka jana hawana nywaya mpaka sasa TANESCO ni moja ya idara zenye matizo kiutendaji, mfumo na kiubunifu naishauli selikali ifanye kama TTCL wakalibishe ushindani wa kiutendaji
TRA wanapaswa kujipanga mm binafsi nililipia roadrecense ya gari yangu kwa njia ya simu lakini kuchukua stika ilinichukua siku sita nilikua nafika saa nne mpaka saa tisa kwa siku zote hizo TRA mjilekebishe bhana
Kila mwaka selikali inavuka lengo la ukusanyaji wa kodi, pamoja na misamaha ya kodi kwa makampuni makubwa ya wajanja wachache. Nashindwa kuelewa mfumo huu ambao hata tafiti haikufanywa kama utaleta mafanikio au katika nchi gani ulileta mafanikio,? ''TRA WAKAJIBU KUWA TANZANIA NDIO NCHI YA KWANZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.