Ni kweli kabisa fursa zipo nyingi sana, kilimo ,uvuvi,na biashara nyingine nyingi tu. Tatizo kubwa bado liko kwenye usafiri, mabasi ni mengi sasa hivi lakini hakuna bei maalumu ya nauli kwani zimekuwa zikibadilika badilika sana sijui hawa sumatra wanafanya nini