Hivi Rais Karume Ana Aleji na Sherehe Zihusuzo JMT?

Familia ya Karume na Mwalimu hazijawahi kuwa karibu tangu alipouwawa mzee Abeid Amani Karume. Wanadhani Mwalimu aliwakingia kifua "wauaji" wa Mzee wao na wengine akawapa vyeo vikubwa tu.
 
Familia ya Karume na Mwalimu hazijawahi kuwa karibu tangu alipouwawa mzee Abeid Amani Karume. Wanadhani Mwalimu aliwakingia kifua "wauaji" wa Mzee wao na wengine akawapa vyeo vikubwa tu.

Angalau umejaribu kufikia karibu ya ukweli. Nadhani inahusiana na Mr X
 
Wacha Bwana! Tangu lini Karume akawa na uhusiano mzuri na Mkapa na kama si Karume Kikwete angekuwa madarakani. Ukweli ni kuwa uhuru wa Karume unaingiliwa na hilo halipendi na anaonyesha kwa vitendo.

Kaka kama hukuwepo katika mchakato wa 2005 ngoja tukupe mwanga Karume alikuwa katika lile kundi la kina mkapa lilikuwa linataka malecela awe rais. Ikachezeshwa rafu malecela akawa hajapita. Since then jamaa na Kikwete hawaivi. Na pia Karume bado ana nongwa kwasababu jamaa hamfagilii kabisa. Mfano BOT nilisikiaga alitaka mwanae awe naibu gavana ikawa inapigwa chini jamaa wa mchakato hawamtaki na mzee juu alikuwa hamtaki maana atamuharibia kazi. Kiufupi jamaa anasubiri muda wake uishe aondoke hivyo basi hajali
 
The point here is, Karume Srn. kapindua na ameuwawa madarakani na tukihisabu alioyafanya mazuri kwa Znz ni mengi kuliko alioyafanya Nyerere bara. Basi kwa nini Karume hakumbukwi kwa gharama za serikali kila miaka kumi? Ni Upuuzi na Ujinga kutoka watu Znz kwenda butiama kwa kumbukumbu za Nyerere alokua na dhamira ya kuimeza Znz na kua mkoa wa Bara. Ameshindwa sasa kamwachia wasia mwanawe Pinda kuendeleza, nae atashindwa tu.
 
hurt.pork2000.jpeg
What is so "special" with mwalimu....blah blah tu na kusifia ...wenye busara walishaachana namkusifia failure....hiyo kazi ya kumsifia waachieni "Kanisa katoliki"
 
The point here is, Karume Srn. kapindua na ameuwawa madarakani na tukihisabu alioyafanya mazuri kwa Znz ni mengi kuliko alioyafanya Nyerere bara. Basi kwa nini Karume hakumbukwi kwa gharama za serikali kila miaka kumi? Ni Upuuzi na Ujinga kutoka watu Znz kwenda butiama kwa kumbukumbu za Nyerere alokua na dhamira ya kuimeza Znz na kua mkoa wa Bara. Ameshindwa sasa kamwachia wasia mwanawe Pinda kuendeleza, nae atashindwa tu.
Mkuu mawazo yako ni ya mtu aliyeishiwa credit,jaribu kujaza na vocha nyingine!!
Halafu kiumpembuzi you are not reachable jaribu another angle.
 
Kaka kama hukuwepo katika mchakato wa 2005 ngoja tukupe mwanga Karume alikuwa katika lile kundi la kina mkapa lilikuwa linataka malecela awe rais. Ikachezeshwa rafu malecela akawa hajapita. Since then jamaa na Kikwete hawaivi. Na pia Karume bado ana nongwa kwasababu jamaa hamfagilii kabisa. Mfano BOT nilisikiaga alitaka mwanae awe naibu gavana ikawa inapigwa chini jamaa wa mchakato hawamtaki na mzee juu alikuwa hamtaki maana atamuharibia kazi. Kiufupi jamaa anasubiri muda wake uishe aondoke hivyo basi hajali

Nikurejeshee mchapo wako! Pengine mimi nilikuwa naviona na kuvijuwa vile alivyokuwa akitenda JK kule Zenj kwa nafasi mbele ya Karume na wala sikwambii kwa kusikia.
Hata Karume alipoulizwa kati ya Salim na Kiwkwete alijibu kistaarabu kuwa angependelea afanye kazi na JK zaidi kuliko Salim na kwa kauli yake hiyo ndiyo iliofanya block vote ya Zanzibar kwenda kwa JK.
 
The point here is, Karume Srn. kapindua na ameuwawa madarakani na tukihisabu alioyafanya mazuri kwa Znz ni mengi kuliko alioyafanya Nyerere bara. Basi kwa nini Karume hakumbukwi kwa gharama za serikali kila miaka kumi? Ni Upuuzi na Ujinga kutoka watu Znz kwenda butiama kwa kumbukumbu za Nyerere alokua na dhamira ya kuimeza Znz na kua mkoa wa Bara. Ameshindwa sasa kamwachia wasia mwanawe Pinda kuendeleza, nae atashindwa tu.

Longa! Mkuu Longa!
 
What is so "special" with mwalimu....blah blah tu na kusifia ...wenye busara walishaachana namkusifia failure....hiyo kazi ya kumsifia waachieni "Kanisa katoliki"
Wacha chuki binafsi na kanisa katoliki,changia hoja iliyopo la kama huna hoja acha.
Karume hataki unafiki kama wa viongozi wengi wa bara ambao kila siku wanahubiri kumuenzi baba wa taifa kwa mazuri aliyoyafanya huku wakifanya kinyume.
 
Wacha chuki binafsi na kanisa katoliki,changia hoja iliyopo la kama huna hoja acha.
Karume hataki unafiki kama wa viongozi wengi wa bara ambao kila siku wanahubiri kumuenzi baba wa taifa kwa mazuri aliyoyafanya huku wakifanya kinyume.

Hao viongozi wetu wamejifunza yote hayo unayoyasema kwa mwenyewe Nyerere.
 
utawala wa nyerere unanikumbusha haya yafuatayo.
viduka vya ushirika ambavyo mchele kama unakuja wiki ijayo basi wewe unaandikisha jina lako leo, ukivaa nguo mpya balozi wa nyumba kumi anakuja kusachi nyumba yako,nchi kukosa tv (alhamdulillah wazenji tulikuwa nayo), woga wa kuongea ukweli (ukiongea ukweli sku ya pili uko ndani), kulazimishwa kukaa mabarabarani kumsifu kiongozi ambae humpendi, kushiriki katika mapinduzi ya zanzibar, kuja zanzibar mwaka 1995 kwa kikao cha dharura cha mapinduzi ya kura, kuimeza zanzibar hatua kwa hatua kuanzia kuunganisha nchi, kuunganisha vyama, kuendesha nchi kwa katiba ya ccm akiwa kama yeye mwenyekiti,kuongeza vipengele vipya kila kukicha katika mambo ya muungano na mengine mengi. tusijidanganye sana hakuna jema alilolifanya nyerere especially kwa upande wa visiwani. msijidanganye kwamba nyerere aliondoa ubaguzi, kwa upande wa zenji yeye ndie alieasisi ubaguzi wa wapemba na waunguja kwa kuyabariki mapinduzi ambayo ndio chimbuko kuu la ubaguzi wa kisiasa uliopo leo zenji.
nauliza suali kama alilouliza mwenzangu kabla. hivi kwanini serikali ya muungano haiadhimishi siku ya kufa karume? kumbukeni kwamba waliolianzisha taifa la tanzania ni wawili na sio mmoja.
 
nauliza suali kama alilouliza mwenzangu kabla. hivi kwanini serikali ya muungano haiadhimishi siku ya kufa karume? kumbukeni kwamba waliolianzisha taifa la tanzania ni wawili na sio mmoja.

Nilifikiri tr 7 Aprili kila mwaka ni Karume Day kumbe naota? Au unataka tuzime na mwenge siku hiyo ndio ujue kuna Sikukuu?
 
Back
Top Bottom