Recent content by Chililo

  1. Chililo

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kibinda Nkoi
  2. Chililo

    Naomba kujua dawa nzuri ya kutibu kidonda cha mbuzi

    Mbuzi wangu anasumbuliwa na kidonda kikubwa sehemu ya tumbo. Kina wiki sasa. Mara ya mwisho alikuja daktari akamsafisha na hydrogen peroxide, akamshona na kuacha sehemu wazi ya kupitisha hewa..kisha akamchoma sindano ya antibiotic na kuacha dawa moja ya kuspray....lakini hadi leo ni wiki moja...
  3. Chililo

    Case law inayokataa Jaji kujitoa bila sababu za msingi

    Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke
  4. Chililo

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Naomba case law ambayo inakataa jaji kujitoa kwenye kesi
  5. Chililo

    Case law inayokataa Jaji kujitoa bila sababu za msingi

    Mdau mwenye case law ambayo ime rule out jaji kutokujitoa kwenye kesi bila sababu ya msingi. Naomba wadau
  6. Chililo

    Nahitaji mfadhili nina mabwawa matatu ya samaki

    Wadau, Habari za leo. Mimi ni mfugaji wa samaki, tayari nina mabwawa matatu ya samaki na nimeshaweka vifaranga vya samaki ambavyo vina miezi minne. mabwawa yangu ni makubwa na mazuri sana. changamoto ninayokutana nayo ni namna ya kupata chakula cha kuwalisha hawa samaki/ Hivyo naomba kupata mtu...
  7. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Kwa upekee kabisa nakupa big up sana. naomba na mimi uwe una nitag nitafurahi na nitakuombea pia. halafu naomba kama ikikupendeza unipeleke kabisa kwenye group la whatssap... hapa PM inahusika kwa namba. Asante
  8. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    hakuna mahali hapa nimeku offend mkuu, na sijawahi kuwa mtovu wa nidhamu kwa kiasi hicho, na nimekuwa mtu wa kukumbuka nilikitoka nami nimekuwa nikifanya hivyo kwa wale wenye shida. naheshimu sana mchango wa kila mtu aliyenisaidia. LAKINI sidhani kama msaada wako uliutoa kama fimbo ya kuja...
  9. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    unataka nikukanyage nitakukanyaga hakika.
  10. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    mkuu sijakukanyaga, tafadhali usinilazimishe nikukanyage...na nitakukanyaga kisawasawa
  11. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    uzuri The bold hana akili kama zako. yaani kumwambia anitag tayari ushawashwa
  12. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    ndo mjifunze kutumia kompyuta sasa. ila nimekuelewa na nina kusamehe kwa sababu unatumia simu
  13. Chililo

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Sitaki tukoseane heshima unasikia...ohooooo. Be warned
Back
Top Bottom