mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,869
naomba unisaidie ilipo sehemu ya pili mana siioniNaomba kunitag kwa ajili ya mwendelezo SEHEMU 3
naomba unisaidie ilipo sehemu ya pili mana siioniNaomba kunitag kwa ajili ya mwendelezo SEHEMU 3
Nenda post # 338naomba unisaidie ilipo sehemu ya pili mana siioni
Ushamba mzigo. Post hio sijui niipate wapi mkuu. Tafadhali nipe linkNenda post # 338
Ni nini sasa kunukuu habari lote hili kuomba namba za simu tu,si uende pm huko??Toa namba yako ya wasap tukufuate mkuu
Wengine bado tuna kaushamba japo wenyeji, hiyo post 338 naipataje?Nenda post # 338
Ushamba mzigo. Post hio sijui niipate wapi mkuu. Tafadhali nipe link
Kwa urahisi zaidi... mfano hii ni post namba 375. So rudi nyuma kuazia hapa utakutana nayo.Wengine bado tuna kaushamba japo wenyeji, hiyo post 338 naipataje?
Natumai weekend hii utaendelea na simulizi za jfk kama ulivyoahidiKwa urahisi zaidi... mfano hii ni post namba 375. So rudi nyuma kuazia hapa utakutana nayo.
Kwa upekee kabisa nakupa big up sana. naomba na mimi uwe una nitag nitafurahi na nitakuombea pia. halafu naomba kama ikikupendeza unipeleke kabisa kwenye group la whatssap... hapa PM inahusika kwa namba. AsantePamoja sana broh