Recent content by chilala jr

  1. chilala jr

    Mshahara tarehe 20?

    Kutoka kwa mshahara mapema si kwamba ni raha ni mateso tu kama huna kitu kingine cha kukuingizia hela. Bado Siku ngapi kama kweli umetoka Leo ili mwezi uishe? Siku kumi kwa mishahara ya JK ni nyingi sana ( kwa maana hatujawahi kuona mishara ya JPM) ukilinganisha na maisha ya sasa. Anyway wenye...
  2. chilala jr

    Mwongozo wa Bashe: Serikali kupitia Waziri Mkuu haijatatoa taarifa ya serikali Bungeni?

    Bora kuwa mkorofi kwenye ukweli, bora kufa na Mawazo straight sio kuwa na akili za mtindi kama zako. Mbona Hata Mkulu alikuja na baba yake toka kwa kagame akiwa tayari kazaliwa au umemuona bashe tu
  3. chilala jr

    Bungeni Dodoma: Nukuu tata za wabunge wa CCM bungeni leo

    Ukweli ni sumu mbaya ukikaa nao, kwanini uidhulumu nafsi yako kwa kukaa na ukweli. Wamesema tunayotaka kusikia wakitusemea sisi tulionje ya mjengo.
  4. chilala jr

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Nitasoma baadae kwa kutulia
  5. chilala jr

    Humphey Polepole ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu itikadi na uenezi

    Nikipata CV ya polepole kiusahihi basi naweza kusema mengi zaidi kuhusu yeye. Inawezekana simjui kadri ya nimjuavyo
  6. chilala jr

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Hakuna jambo lisilokuwa na mwisho, najua mwisho utafika tu CCM will be out. Mbinu ulitumia kuwanyamazisha uliosema wanakiuka ndo mbinu itakayotumika ili kukuongoza wewe. Naamini kuna siku hii nchi itaongozwa na upinzani tu. So sheria zote kandamizi na zisizokandamizi waje waziendeleze tu at...
  7. chilala jr

    Wanafunzi wa kike wakutwa wakivuta bangi na viroba, walimu wapeleka kwenye mitandao

    Naomba na hii tuishare sana kila sehemu ili ifike kwa ndalichako. Nasubiri adhabu ya hawa watoto
  8. chilala jr

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Sikupenda kabisa kwa majibu yake. Kwa mfano alipotoa siku saba wawe wamelipa kodi wale wote wahusika wa makontena kulikuwa na ugumu gani kusema wamelipa au bado, kwa TRA suala kama hili lazima watakuwa wanampa taarifa kinachoendelea. Jibu lake la kusema kawaulize TRA lilinipa wasiwasi wake...
  9. chilala jr

    Hofu ya Magufuli kuua upinzani haikuanza leo, CCM tembeeni kifua mbele wanakufa kweli

    Hebu fanyeni kazi, mambo ya siasa subiri uchaguzi 2020. Wekeni Uzi za kufundisha ujasiriamali na mambo mengine ya kuelimisha. Acheni taarabu.
Back
Top Bottom