CCM ni Magufuli na Magufuli ndo CCM kwasasa. Aliyeshinda uchaguzi ni Magufuli sio CCM. CCM halisi kwa sasa ni akina Lukuvi, Makamba Sn, Kinana, Nape, Mangula, Butiku, Mwigulu, Chenge, Karamagi, Diallo, na wazee Mwinyi, Mkapa na Kikwete ambao wameshindwa kuzikonga nyoto za watanzania hadi...