Ulicho andika sina hakika nacho.
Ila wakenya hawakuwai kuwapenda watanzania ata siku moja na nilishuudia juu ya chuki yao ya wazi nikiwa Zambia.
Watanzania wakiamka wakenya watalia na kusaga meno.
Kwanza nasoma comment na nikizielewa ndo nakuja kusoma Uzi wenyewe.
Niki,comment kwa jinsi nlivyozisoma comment zilizo tangulia naona huu Uzi umejaa upuuzi na uzinzi.
Yawezekana jamaa alijisahau kukiandika hicho kiwanda usemacho.
Kosa lako ukutaka kumrekebisha jamaa kwa neno la "naongezea hapo".
Na kama jamaa ni muongo ni kwanini wewe unaye jua ukweli ukuleta mada kama hii kabla yake?
naona sasa umeshaanza kuelewa ivo punguza domo.
kuna siku natoka zangu maeneo ilikuwa mida ya saa mbili usiku nikakutana na hao unao watetea wakiwa watatu wakani,tight vzr tu nami nilipo taka kujitetea nikachomwa kisu cha karibu na jicho na akawa anakikandamiza ivo nikatulia.
baada ya kumaliza...
naona leo umepiga chabo mpak ukapig nn....!!!
af umeshapakuw mzigo wako kisha ndo unakuja kuleta taarifa.
ila wakizifungia utapiga pesa sana coz utagonga copy za kutosha si umesem mizigo unayo.
af acha umbe....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.