Recent content by Chigwiye misi

  1. Chigwiye misi

    Wanaharakati, Wapinzani na wakosoaji dhidi serikali jililieni nyinyi na watoto wenu

    Samahani mkuu hivi ulishamuomba msamaha Edward kwa ile mitusi na mikejeli ya enzi hiyo?niliwahi kukuamini mno ni bahati mbaya najutia imani yangu kuwekeza kwa wale wale! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Chigwiye misi

    Prof. Palamagamba Kabudi ni nani!?

    Prof Palamagamba ni mgogo mzaliwa wa mvumi makulu,baba yake ni mgogo wa manyoni na mama yake ni mkaguru wa kilosa morogoro,baba yake alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi mvumi makulu pia akiwa ni muamini mkubwa wa kanisa Anglican la Tanzania. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Chigwiye misi

    Msigwa nae kaja na kijembe cha mwaka

    Msigwa toka atuambie tunaomuunga mkono lowasa tupimwe akili sijawahi kumuamini tena!
  4. Chigwiye misi

    UKAME: Soko la Kimataifa la Kibaigwa lakauka. Sasa linategemea mahindi toka Mutukula

    Nimefika kujionea hali halisi sokoni Kibaigwa na hali iko hivi,biashara inaendelea na mahindi zipo shehena za kutosha nawaletea picha zaidi!
  5. Chigwiye misi

    Mpaka sasa BAVICHA ndio taasisi bora ya vijana nchini.

    Bavicha iliyoimbishwa Edward mwizi mkuu nayo ikaimba,wimbo ukabadilishwa kuwa Edward ndiye mmbeba maono ya mabadiliko nayo ikacheza na kuimba kwa sauti pambio hilo,hii ndiyo bavicha bora kweli?bavicha ambaye viongozi wake hutoka mfukoni kwa mbowe huo ndio ubora siyo?bavicha ambayo leo wanaambiwa...
  6. Chigwiye misi

    Msaada kwenye tuta,Prof Kitila Mkumbo kamaanisha nini hapa?

    Uchwara ni pambano lipi?
  7. Chigwiye misi

    Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza uwanja ndege wa JNIA, Dar. Akuta mashine mbovu...

    Kweli kwa sasa mmeshikwa pabaya,niliwahi kuamini kuwa wewe ni kati ya vijana ambao wako sawa sana kichwani,siku za karibuni nimeanza kukuona tofauti sana aise,yaani rais asifanye chochote kwakuwa ajenda ni sukari tu!hivi main agenda ya upinzani toka jpm aingie magogoni ni ipi labda?
  8. Chigwiye misi

    Mbunge aliyewaita Wabunge wa UKAWA Ma-Baby achukuliwe hatua!

    Mbona umepanic ndugu naona imekuingia eeee?pole aise tatizo ni moja upinzani umekosa hoja umebaki na kick za kipuuzi kama hizi za kina mdee na ndio mana na ninyi pro-upinzani hamna cha kuongea humu zaidi ya panic kama hizi!pole sana ndugu!yana mwisho mwaya[emoji1] [emoji1] [emoji1]
  9. Chigwiye misi

    Mbunge aliyewaita Wabunge wa UKAWA Ma-Baby achukuliwe hatua!

    Hata kauli ya kubenea kuwa wabunge wanawake wa upinzani wanavaa shanga kiuononi haikuwa bahati mbaya ni kwa kuwa kubenea anawajua vizuri hawa le wabebiz wa upinzani!nadhani mdee angeongoza le wabebiz wenzie kutoka hii siku ya kubenea na si juzi kwa milinga!
  10. Chigwiye misi

    Mmiliki wa mabasi na malori ya RATCO msaidie rais Magufuli

    Hapana,RATCO ni rafiki mkubwa wa Lowasa na mpaka leo mabasi yake bado yananing'iniza picha za bwana Edward na ukawa!
  11. Chigwiye misi

    CHADEMA mlimtengeneza shetani, Rais Magufuli anapambana naye

    Bahati mbaya uzi makini kama huu hakuna wa kujitokeza na kutoa majb mujarabu,zaidi watakuja na matusi na upotoshaji linganifu,mfano mtu atakwambia mbona chenge bado yupo ccm hivyo si tatizo lowasa kuwa ukawa!kwa sasa tukubali upinzani utaendelea kupotea kwa kasi na viwango!period
  12. Chigwiye misi

    Rais Magufuli apingwa, ni kuhusu kutumbua majipu

    Akiwasilisha "bajeti mbadala" ya kambi ya upinzani bungeni,"wakili msomi" Lissu aliwataka wote waliotumbuliwa kwenda mahakani! Wakati Lissu akitoa rai hiyo meya wa jiji amemtumbua mchana kweupe meneja wa Ubungo Bus Terminal huku meya wa Kinondoni kwa kushirikiana na baraza la madiwani Kinondoni...
Back
Top Bottom