Chigwiye misi
Member
- May 31, 2012
- 74
- 41
Uchwara ni pambano lipi?
Kitila mkumbo hajawahi kuwa na lolote la maana ndio maana anazeekea kwenye maflat ya chuo kama mwanafunzi, hovyo kabisa
Unae assess la Maana kwa mkumbo una maana au uelewa gani mpaka ujue maana ya Kitila?Kitila mkumbo hajawahi kuwa na lolote la maana ndio maana anazeekea kwenye maflat ya chuo kama mwanafunzi, hovyo kabisa
Rudia uedit tukueleweUnae assess la Maana kwa mkumbo una maana au uelewa gani mpaka ujue maana ya Kitila?
Kitila ana maanisha unapingaje Udikteta kwa Rais wa Nchi wakati wewe Chamani ni Dikteta?
Unamshinikiza Slaa akae pembeni kumpisha Lowassa badala ya kuruhusu Demokrasia itamalaki then unataka kuingiza vijana barabarani wakapiganie Demokrasia na kupinga Udikteta?
Unafiki ni kipinga jambo analofanya Mwenzio wakati wewe mwenyewe Nyumbani kwako ndio mfumo wako wa utendaji
sifa zipi? si mlisema wananchi hawawatakk tena CHADEMA. ..my friend muda hausubiri mtuChadema wamelewa sifa. Wanafikiri wananchi wana moto ule ule ....harakati hii itashindwa kuliko zote na kuzidi kudhibitisha kuwa Chama hakina mikakati halisia ...
Hakuna typing error sema hujaelewa halafu unajifanya ku assess Hoja ya Prof.Rudia uedit tukuelewe
Umeshaelewa usimsumbuwe. Na kama hujaelewa basi waliokufundisha hata huko ulikopita walikuwa na kazi kubwa sana.Rudia uedit tukuelewe
Ha ha haaa !,Mkuu umeua ...
Hivi UKUTA wangeachwa waandamane polisi wahakikishe usalama na tungeona matokeo yake ndio tungesema wananchi wamewachoka.Chadema wamelewa sifa. Wanafikiri wananchi wana moto ule ule ....harakati hii itashindwa kuliko zote na kuzidi kudhibitisha kuwa Chama hakina mikakati halisia ...