Ningepata sababu ingekua vzri kwa mfano TV china original samsung,konka ,Lg ni 250k 4k hyo inch 32 na ni smart kwa nini nisitafute njia nzuri ya gharama nafuu kuileta hapa nikaitumia
Ngoja wajuzi waje mkuu watupe mwanga niliofia kuagiza Tv sababu unaweza kununua TV bei ndogo ukasafirisha bei kubwa so nataka niangalie usafiri ili kujua kama kuna faida ya kuagiza au kununua hapa
Habarini watu wa Mungu natumaini mpo salama
Naomba kupata utatuzi au hata ushauri ili kuweza kutatua hili tatizo. Nina kizunguzungu ambacho mpaka sasa sikielewi nimeenda hosptal naambiwa nipime fullblood picture ambapo majibu yalikuja hamna tatizo lolote kwenye mfumo wa damu
Dalili ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.