Ngoja wajuzi waje mkuu watupe mwanga niliofia kuagiza Tv sababu unaweza kununua TV bei ndogo ukasafirisha bei kubwa so nataka niangalie usafiri ili kujua kama kuna faida ya kuagiza au kununua hapaAisee ma mm nataka kujua. Kuna Bonge la tv nimeliona huko china ni shidaaa
Nunulia hapa hapaNgoja wajuzi waje mkuu watupe mwanga niliofia kuagiza Tv sababu unaweza kununua TV bei ndogo ukasafirisha bei kubwa so nataka niangalie usafiri ili kujua kama kuna faida ya kuagiza au kununua hapa
Ningepata sababu ingekua vzri kwa mfano TV china original samsung,konka ,Lg ni 250k 4k hyo inch 32 na ni smart kwa nini nisitafute njia nzuri ya gharama nafuu kuileta hapa nikaitumiaNunulia hapa hapa
Jaribu kuwatafuta silent oceanNingepata sababu ingekua vzri kwa mfano TV china original samsung,konka ,Lg ni 250k 4k hyo inch 32 na ni smart kwa nini nisitafute njia nzuri ya gharama nafuu kuileta hapa nikaitumia
waone wanao safirisha mizigo kutoka china awtakuletea wako round about ya zamani ya kariko pale benjamin mkapa
Asante kiongozi inch 32 na 49 ina gharim kiasi je wanapima kwa CBM?Usafiri wa TV wanachaji kulingana na ukubwa wake (inches) mfano TV ya inches 75 usafiri ni dollars 300-350
Standard shipping unawapata wapi mkuu Ungefafanua vizuri mkuuMuuzaji ni nani? Nunua kwa Alibaba/ Aliexpress / Kikuu utume kwa standard shipping gharama huwa ni ndogo.
TV hawapimi cbm wanachaji kulingana na ukubwa wa TV (inches)Asante kiongozi inch 32 na 49 ina gharim kiasi je wanapima kwa CBM?