Recent content by Chifu mkuu

  1. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Hapana! Japo kwa sasa naishi Moshi mjini siwezi sema kwamba hapa ni umasaini. Na pia mimi siyo mmasai. Mimi ni mzinza toka Biharamulo mkoani Kagera ila nimeishi makao makuu ya mikoa mbalimbali kwa zaidi ya miaka 25. NI swala la kufatilia tu jamii mbalimbali nazokutana nazo katika mizunguko yangu...
  2. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Kama sisi waislamu ni Sunna kutembea na silaha lakini kujaribu mara moja utaitwa gaidi,Al shabaab, alkaida na majina mengine lakini mmasai hakuna anayejali japo Kwa tukio hili huenda serikali ikaanza kiwafatilia japo ni ngumu. Serikali ilishawafanya wamasai kama sehemu ya maliasili kwahiyo...
  3. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Hilo nalo neno!
  4. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Lakini nasikia hukohuko kwao wamewahi kumuua kwa mishale afisa mkuu wa idara ya wanyamapori pamoja na kwamba alikuwa na kikosi cha askari wenye bunduki.
  5. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    ............. watazuga kama vile hakuna wanachoelewa , sanasana mambo yakiwa magumu watazungumza na familia yake wauze ng'ombe wawili watatu kutafuta hela za kuwahonga polisi na hata hakimu endapo kesi itafika mahakamani. Kwakweli aliyeuawa siyo mtu wa kawaida na waliyoua sio watu wa kawaida...
  6. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Hapa tuseme KIMEUMANA, Polisi kazi wanayo!! Habari zenu wanajukwaa! Hii habari ya morani wa kimasai kumuua bosi wao ambaye ni "MUWEKEZAJI" toka nchini China imenifikirisha sana! Kinachonifikirisha ni kwamba : KAMA ALIYEUAWA ANGEKUWA MTU WA KAWAIDA nguvu ya kumtafuta muuaji pia ingekuwa ya...
  7. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Nauza mkojo wa sungura. Nipo Moshi mjini

  8. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Waliokunywa ‘Kikombe cha Babu wa Loliondo’ asilimia kubwa wamefariki dunia?

    Hajaenda Loliondo kwa babu. Yule mzee Hana tatizo la afya labda kuumwa mafua mara mojamoja.
  9. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Waliokunywa ‘Kikombe cha Babu wa Loliondo’ asilimia kubwa wamefariki dunia?

    Aliwatapeli hadi watu wenye PhD na vyeo vikubwa serikalini!
  10. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Waliokunywa ‘Kikombe cha Babu wa Loliondo’ asilimia kubwa wamefariki dunia?

    Habari za muda huu wadau. Kuna habari nimeona mitandaoni ikanifikirisha kidogo nikaona niilete jukwaani tupate mitazamo ya wengine. Ni kwamba Inasemekana ya kwamba watu wote waliokunywa kikombe cha dawa kwa babu wa Loliondo wote kwa sasa wamefariki dunia ikiwa pamoja na babu mwenyewe! Mimi...
  11. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Kilimo hai,bora na cha kisasa kwa kutumia mkojo wa sungura.

    HABARI NJEMA KWA WAKULIMA Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama. Mkojo wa sungura pia...
  12. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Wadau Vipi huko mliko kweli kuna harakati za Uchaguzi 2025? Mimi nafsini mwangu nishasahau na kupotezea 100%

    Huku tulipo hali ipo hivi 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  13. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Chadema sera yenu kuhusu muungano ni pawe na serikali tatu. Na Nyerere unayejifanya kwamba unamtetea kinafiki ndiye muasisi wa muungano wa serikali mbili mfumo ambao nyinyi mnaupiga vita kwakuwa umelimeza jina la Tanganyika na kuwapa nguvu wazanzibar kuweza kuwa na nguvu kubwa ndani ya serikali...
  14. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Natamani wana jf wote wangekuwa na uelewa kama wakwako lakini ndio hivyo tena wanasema akili ni nywele kila mtu ana zake.
Back
Top Bottom