Recent content by Chifu mkuu

  1. Chifu mkuu

    Kilimo hai,bora na cha kisasa kwa kutumia mkojo wa sungura.

    HABARI NJEMA KWA WAKULIMA Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama. Mkojo wa sungura pia...
  2. Chifu mkuu

    Wadau Vipi huko mliko kweli kuna harakati za Uchaguzi 2025? Mimi nafsini mwangu nishasahau na kupotezea 100%

    Huku tulipo hali ipo hivi 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  3. Chifu mkuu

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Chadema sera yenu kuhusu muungano ni pawe na serikali tatu. Na Nyerere unayejifanya kwamba unamtetea kinafiki ndiye muasisi wa muungano wa serikali mbili mfumo ambao nyinyi mnaupiga vita kwakuwa umelimeza jina la Tanganyika na kuwapa nguvu wazanzibar kuweza kuwa na nguvu kubwa ndani ya serikali...
  4. Chifu mkuu

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Natamani wana jf wote wangekuwa na uelewa kama wakwako lakini ndio hivyo tena wanasema akili ni nywele kila mtu ana zake.
  5. Chifu mkuu

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Kabudi is right, Mimi namuunga mkono, shida ni vile tulivyoyatafsiri maneno yake kwa tafsiri mbaya ili aonekane kakosea.
  6. Chifu mkuu

    PreGE2025 GE2025 Spika Tulia amemhakikishia Esther Matiko ubunge Tarime mjini kupitia CCM

    Akisilimu na kuwa muislamu ndoa yake na huyo mwanaume wa kikristo itakuwa imekufa kwahiyo atafunga ndoa ya kiislamu na Salum Mwalimu na maisha yataendelea. Ni vile tu hawajaamua kuoana na Salum Mwalimu.
  7. Chifu mkuu

    PreGE2025 Paul Makonda anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

    Naunga mkono hoja. Kuna baadhi ya mawaziri wakuu waliopita kama akina mzee Kawawa , Sokoine, Malecela, Sumaye, Lowasa na Pinda ambao hawakuwa na elimu kubwa kihivyo ambayo Makonda hana. Naona haina haina shida alipewa hiyo nafasi ya kuwatumikia wananchi.
  8. Chifu mkuu

    Mashine hii hapa, Iran nehi nehi, Marekani ina silaha za hatari sana ambazo dunia haijui

    Mimi sina undugu na mashia. Kama huamini kuwa mashia ni makafiri nakupa homework halafu ulete majibu. Sisi ahlussunna kutokana na hadithi aliyopokea imamu Muslim kutoka kwa swahaba Umar رضي الله عنه ni kwamba uislamu una nguzo tano na imani ina nguzo sita. Sasa ukikutana na shia yeyote hata Hawa...
  9. Chifu mkuu

    Leo hadi mchungaji amenitolea mfano kama kijana mtanashati and handsome.

    Ukiona mwanaume anamsifia mwanaume mwenzake kwamba ni mtanashati au handsome basi jua mwanaume huyo kama haliwi na wanaume wenzake basi anakula wanaume wenzake. Mwanaume anayejitambua huwa hana muda wa kuchunguza uzuri au utanashati wa wanaume wenzake. Kwahiyo huyo padri yawezekana analiwa na...
  10. Chifu mkuu

    Mashine hii hapa, Iran nehi nehi, Marekani ina silaha za hatari sana ambazo dunia haijui

    Lwetanyahu, Trump na Khamenei wote ni makafiri. Hii vita waislamu haituhusu. Ni mgogoro wa kisiasa kati ya nchi tatu za kikafiri kama ilivyokuwa mgogoro wa Urusi na Ukraine kwamba ni mgogoro wa kisiasa kati ya nchi mbili za kikafiri. Israeli na Marekani wanapigana na ukafiri mwenzao wa Irani...
  11. Chifu mkuu

    Sheikh Kassim Mafuta amkumbuka kanali Muammar Gadafi

    📡LIVE MUHADHARA 🕌 MA'AHAD SHEIKHIL ISLAM IBN TAYMIYYAH - PONGWE TANGA - TANZANIA 🇹🇿🕌 DHUL-HIJJA 2️⃣3️⃣ 🏝️1446-2025🏝️ 🔈 ZIARA YA KIDA'WAH MOROGORO 📢 LIVE MUHADHARA📢 ⏰BAADA YA SWALA YA ALASIRI 🕌 MASJID SULTAN 🎙️MUHADHIRI 🎙️🎙️SHEIKH ABUL FADHL KASSIM MAFUTA KASSIM حفظه الله...
  12. Chifu mkuu

    Sheikh Kassim Mafuta awaasa Waislamu kuilinda amani ya Nchi

    Muhadhara wa sheikh Kassim Mafuta Morogoro mjini unaanza muda huu.
  13. Chifu mkuu

    Sheikh Kassim Mafuta awaasa Waislamu kuilinda amani ya Nchi

    🛑 📻 LIVE ZIARA YA KIDA'AWA 1446H - 2025M 📡 MUHADHARA BAADA YA ASRI MRKAZ AL- IMAM SHAWKAAN SULTAN AREA MOROGORO MJINI 🎙️ MUHADHIRI :- SHEIKH ABULFADHLI KASSIM MAFUTA KASSIM حفظه الله Radio Link 1 https://salafussaalih.net/redio-masjid-abi-dharr-jundub-bin-junaadah-moshi 📡TELEGRAM LIVE...
  14. Chifu mkuu

    Sheikh Kassim Mafuta amkumbuka kanali Muammar Gadafi

    Assalaamu a'laykum. Waislamu na watanzania kwa ujumla wametakiwa kupata mafunzo na mazingatio kutokana na matukio yaliyotukia miaka ya nyuma katika kile kinachotambulika kama " vuguvugu la waarabu " ( Rabiiu'l Arab ) ikiwa pamoja na tukio la mapinduzi na kisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa...
  15. Chifu mkuu

    Sheikh Kassim Mafuta awaasa Waislamu kuilinda amani ya Nchi

    Kesho anamaliza ziara yake kwa kutoa muhadhara Morogoro mjini nadhani ataanzia saa kumi baada ya swala ya Al aswiri. Msikilize kwanza halafu ndo utoe comment zako. Hayo unayoyaeleza amaishatoa majibu yake kupitia mihadhara aliyoitoa Arusha , Singida na leo Dodoma. Kwakuwa kesho ndio mwisho wa...
Back
Top Bottom