HABARI NJEMA KWA WAKULIMA
Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao.
Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama.
Mkojo wa sungura pia...
Chadema sera yenu kuhusu muungano ni pawe na serikali tatu.
Na Nyerere unayejifanya kwamba unamtetea kinafiki ndiye muasisi wa muungano wa serikali mbili mfumo ambao nyinyi mnaupiga vita kwakuwa umelimeza jina la Tanganyika na kuwapa nguvu wazanzibar kuweza kuwa na nguvu kubwa ndani ya serikali...
Akisilimu na kuwa muislamu ndoa yake na huyo mwanaume wa kikristo itakuwa imekufa kwahiyo atafunga ndoa ya kiislamu na Salum Mwalimu na maisha yataendelea.
Ni vile tu hawajaamua kuoana na Salum Mwalimu.
Naunga mkono hoja.
Kuna baadhi ya mawaziri wakuu waliopita kama akina mzee Kawawa , Sokoine, Malecela, Sumaye, Lowasa na Pinda ambao hawakuwa na elimu kubwa kihivyo ambayo Makonda hana.
Naona haina haina shida alipewa hiyo nafasi ya kuwatumikia wananchi.
Mimi sina undugu na mashia.
Kama huamini kuwa mashia ni makafiri nakupa homework halafu ulete majibu.
Sisi ahlussunna kutokana na hadithi aliyopokea imamu Muslim kutoka kwa swahaba Umar رضي الله عنه ni kwamba uislamu una nguzo tano na imani ina nguzo sita.
Sasa ukikutana na shia yeyote hata Hawa...
Ukiona mwanaume anamsifia mwanaume mwenzake kwamba ni mtanashati au handsome basi jua mwanaume huyo kama haliwi na wanaume wenzake basi anakula wanaume wenzake.
Mwanaume anayejitambua huwa hana muda wa kuchunguza uzuri au utanashati wa wanaume wenzake.
Kwahiyo huyo padri yawezekana analiwa na...
Lwetanyahu, Trump na Khamenei wote ni makafiri.
Hii vita waislamu haituhusu.
Ni mgogoro wa kisiasa kati ya nchi tatu za kikafiri kama ilivyokuwa mgogoro wa Urusi na Ukraine kwamba ni mgogoro wa kisiasa kati ya nchi mbili za kikafiri.
Israeli na Marekani wanapigana na ukafiri mwenzao wa Irani...
📡LIVE MUHADHARA
🕌 MA'AHAD SHEIKHIL ISLAM IBN TAYMIYYAH - PONGWE TANGA - TANZANIA 🇹🇿🕌
DHUL-HIJJA 2️⃣3️⃣
🏝️1446-2025🏝️
🔈 ZIARA YA KIDA'WAH MOROGORO
📢 LIVE MUHADHARA📢
⏰BAADA YA SWALA YA ALASIRI
🕌 MASJID SULTAN
🎙️MUHADHIRI
🎙️🎙️SHEIKH ABUL FADHL KASSIM MAFUTA KASSIM
حفظه الله...
🛑 📻 LIVE ZIARA YA KIDA'AWA 1446H - 2025M
📡 MUHADHARA BAADA YA ASRI MRKAZ AL- IMAM SHAWKAAN SULTAN AREA MOROGORO MJINI
🎙️ MUHADHIRI :-
SHEIKH ABULFADHLI KASSIM MAFUTA KASSIM حفظه الله
Radio Link 1
https://salafussaalih.net/redio-masjid-abi-dharr-jundub-bin-junaadah-moshi
📡TELEGRAM LIVE...
Assalaamu a'laykum.
Waislamu na watanzania kwa ujumla wametakiwa kupata mafunzo na mazingatio kutokana na matukio yaliyotukia miaka ya nyuma katika kile kinachotambulika kama " vuguvugu la waarabu " ( Rabiiu'l Arab ) ikiwa pamoja na tukio la mapinduzi na kisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa...
Kesho anamaliza ziara yake kwa kutoa muhadhara Morogoro mjini nadhani ataanzia saa kumi baada ya swala ya Al aswiri.
Msikilize kwanza halafu ndo utoe comment zako.
Hayo unayoyaeleza amaishatoa majibu yake kupitia mihadhara aliyoitoa Arusha , Singida na leo Dodoma.
Kwakuwa kesho ndio mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.